He he heeee jamani mmetuamsha tuliopotea jukwaani sababu tuliamua kukaa kimya. Hivi kweli muwape wachaga umakamu? Haiwezi tokeaaaaa sahauni kabisa mnataka mtuibie?
 
Dah hebu tupumzisheni kidogo, yani umtoe msukuma uingize mangi jamani mapema hivi hata hatujapumua khaaaa 😃 mtuache kidogo
 
Hao wachaga waliokotwa kujazwa crdb? Au waliomba kwa sifa stahiki wakati nyie mkiwa mnarina asali maporini hamtaki kusomesha watoto?
Kwahiyo wachaga ndio unawaona wasomi sana? Wengi wamezidiwa maarifa ya shule ila wanapeta tu maofisini sababu ya kubebana. Mchaga anaweza asiwe na vyeti vizuri ila kukiwa na mtu wa kumbeba tu kwenye system anapeta tu.
 
Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti.
 
Wasukuma hapana... Msukuma siwezi mpa kura yangu tena. Bora nimpigie shetani kura kuliko niyapigie masuuukuma kmmk.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Imebidi nicheke hapo uliposema nenda Mwanza ukaone wasukuma walivyoijenga... Kweli wewe ni kituko. Nipo Mwanza na matajiri wa Mwanza wanajulikana sana tu.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Sekta binafsi/kibeberu ni tofauti na umma/nchi. Rejea sakata la Tido Mhando na TBA
 
Itakuwa ni kosa kubwa kuliko kuiuza nchi kwa wazungu.Wachaga wana roho mbaya sana na ubinafsi mkubwa.

Wanawake watatukana sana wanaume hasa wa makabila mengine kwani wanaume watakuwa wachaga tu
Angalia CV ya Kimei na aliyoyafanya. Anafaa
 
Kimei awe Waziri wa fedha ili turudishe fedha bank maana tushaogopa na kuchukuliwa hela kwenye account zetu
 
Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti.
Kwani Maguti Alianza Na siasa au Alianza Na taaluma,? Mwigulu alikuwa Benjamin Sasa Ni mwanasiasa, prof. Muhongo alikuwa mwanasayansi wa mawe Kwa Sasa Ni mwanasiasa. Hata weqet kuwa hapa jg tayari mwanasiaasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…