Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchaga wa Chato!Hata Behaviourist ni Mchaga ujue
Hili linawezekanjeUnafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?
Me wala sio Msukuma, ni MpogoloVipi kuhusu wasukuma mlivyo jazana kwenye sehemu zoote zenye ulaji ?
Siku hizi makabila yote wameenda shule, uongozi kama nafasi ya urais elimu tu sio kigezo pekee, kwa wachaga hawafai kupewa uongozi wa juu, wana ukabila kama wasukuma tu, ila wachaga wamedhidi mnoooHatuwezi kuwaepuka kwani katika society zao 70% wanaelimu na wanahitajika katika Nyanja mbali mbali. Ma kabila mengi wenye elimu ni 30-50% ya kabila zima.
Wanyakyusa tumefanya nini tena jamani..[emoji3][emoji3]Tutaupinga kwa nguvu zote bila kujali itukadi. Makabila makubwa yametupa funzo kubwa kuyaamini tena tutakuwa tunarudia kosa la marehemu.
1.Wachaga
2.Wasukuma
3.Wanyakyusa
4.Wagogo
5.Wahaya
Mtusamehe ila hatutarudia tena.
Tuliza mzuka basi kwanza msiba uishesikuiz makabila yote wameenda shule, uongozi kama nafasi ya urais elimu tu sio kigezo pekee, kwa wachaga hawafai kupewa uongozi wa juu, wana ukabila kama wasukuma tu, ila wachaga wamedhidi mnooo
bora ya wamasai sio weziiHaya basi tuwape wapare na masai
Maana wachaga hamuwataki
Kama mtu ana sifa zinazostahili apewe tuu haya mambo ya ukabila hayafai kabisa.Na wachaga watajimilikisha nchi yote, kumbuka CRDB ilivyojaa Wachagga.
Ila atleast wasukuma wana utu sio kama washenzi wa Uchagani na roho zao mbaya. Wachaga wanatumiaga madaraka vibaya na kuonea watu wazi wazi. Ubinafsi ndio kipaumbele chao na ndugu zao japo sio wote kuna wachache wako smart ambao wamepiga shule na exposure ila wale waliongia katika system kwa upepo wa "KAMLETE" ndio hasa wanatuletea tabu.Vipi kuhusu wasukuma mlivyo jazana kwenye sehemu zoote zenye ulaji ?