John wewe ndio mteuziMwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
Very poor. What about his track record at one of the largest banks in our country?Mwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
Hapo ulinzi ndiyo dampo la mawaziri mizigo? Wacha dharau MankaMwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
🤣🤣Mwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
Fedha nipewe mimi. Mwaka mmoja tu unatosha Tanzania kuwa Dubai.Mwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
Vunjo boy namuheshimu, apewe.Mwigullu Nchemba anaenda Ulinzi hapo fedha anakuja " mtaalamu" mmoja makini sana kutoka Vunjo!
Hahahaaaa......!Vunjo boy namuheshimu, apewe.
Mwigulu apelekwe mazingira akakamate magari ya mchanga, fambaf sake
Hiyo ndio dawa ya kiburiHahahaaaa......!
Unataka Apangiwe na Wanyarwanda?yaani mlivyo kosa adabu mnaanza kumpangia.
kweli nyie watu hamna hata chembe ya aibu.
Subiri kidogo kuna rip nyingine kama bee hivi zinakuja kisha ndio tufanye mabadilikoKwa namna Mwigulu alivyowakera na kuwaudhi Watanzania walio wengi na hata kusababisha kumpunguzia heshima na umaarufu Rais Samia, sasa ni wakati wa kumtimua Mwigulu kutoka Baraza la Mawaziri. Kwa kufanya hivi Rais Samia atarudisha hadhi yake mbele ya macho ya Watanzania.
Ni wazi Rais Samia atafanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la Mawaziri ili kuziba nafasi ya Kwandikwa aliyefariki jana. Hii ni fursa ambayo Rais Samia hapaswi kuacha kuitumia kwani pia haitamjengea chuki kwa ye yote kwa sababu hajasababisha kifo cha Kwandikwa!
Mwigulu must go! Atangulie yeye Burundi!
Wenye kukosa adabu ni wale wanaombambikia,kwani wanamchafua.yaani mlivyo kosa adabu mnaanza kumpangia.
kweli nyie watu hamna hata chembe ya aibu.
Hupewi ng'oo.Fedha nipewe mimi. Mwaka mmoja tu unatosha Tanzania kuwa Dubai.
Basi tumpendekeze Magonjwa Mtambuka.Hupewi ng'oo.
Aliyekataa mwenzake asipewe Mimi nimependekeza apewe yeye.Watanzania kwa roho za chuki tupo vizuri sana