Baada ya kifo cha Waziri wa Ulinzi, ni fursa sasa ya kumtimua Mwigulu

halafu unakuta mtu mwengine kapewa dhamana ya either DED, RAS,DAS, DC, RC, waziri, naibu waziri, katibu mkuu au Jaji au mwenyekiti anawaonea wengine walio chini yake, wakati ukifa cheo kinachukuliwa na mwengine, huwezi kuzikwa na cheo chako sasa kwa nn unawataabisha walio chini yako?
kwa unaunda zengwe ili mtu afukuzwe kazi?
binaadamu wengine ni zaidi.ya wanyama pori.
 
KINABII HILI JAMBO LIPO
 
Wapo pamoja na rais kwenye swala la tozo ila tunapingana naye kwenye swala la kuwaambia watu waende burundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…