Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

weusi wameitumia fasihi vyema kabisa,, kuelimisha na kuburudisha pia
 
Salam,

Kwa kile kinachoonyesha kuwa ni kuendana na upepo wa kisiasa wasanii wameonekana kuhamia kwenye muziki wenye maudhui ya kisiasa na haswa kwa kinachoendelea katika uongozi uliopo madarakani. Mpaka sasa kuna hizi nyimbo ambazo zina uelekeo huohuo....

1. Ney wa mitego- Wapo
2. Baghdadi- Usinipangie
3. Weusi- Madaraka (nasubiri official release, ila intro ipo youtube)

List inaendelea......

My take:
Huu ni mgomo baridiiii wa wasanii kwa serikali iliyopo madarakani.
Omba langu, wasanii mje na namna maalumu ya kucheza hizi hits za kipindi hiki.

Tayari official audio ishaachiwa nenda www.johventure.com
 
Naishi kama kwangu na nyumba ni ya kupanga ...vitu vinaenda nga nga ngaaa hahahaha umenipa madaraka ya kulevyaaaa obebeeee hahahaha wameuaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Katika pitapita nimekutana na wimbo wa wagosi wa kaya, wakizidi kukemea uovu wa madereva wetu wa malori a.k.a viongozi kuonyesha jinsi walivyo choshwa na hali iliyopo kwa sasa. Kipande kidogo cha video hiki hapa chini
 

Attachments

Je una matatizo yafuatayo katika tendo la ndoa

1. Kuwai kumaliza chini ya dk kumi

2. Uume kusinya ukiwa uken au kabla hujaingiza

3. Uume legelege mda mwingine kushindwa kuingiza uken

4.manii machache na mepesi

5.kushindwa kurudia round ya pili tatu nne au tano

6.kuchoka baada ya round ya kwanza

Kwa kutumia matunda tu ntatoa formula yaan maelezo jins ya kuandaa hayo matunda ukiwa nyumban na kupona kabisa ndani ya siku 3/5/714 inategemea na ukubwa wa tatizo ni matunda bila kemika

Gharama ni elfu 20

Njia ya malipo ni online kwa tigopes mpes kwa namba hii moja 0712505049
Au ofisin chanika mwisho karibu n kisarawe yalipo makazi yangu na ofisi

Utapona kabis kama hujazaliwa na tatizo napia lilitokana na punyeto au vyakula kama wali chips soup soda na kemikali
Wasiliana na dr kwa 012505049
 
Online release is the best huko sirikali haina control

watoe song nyingi sana ili wajue kua tunachoshwa na Ubashite [HASHTAG]#freedomofspeech[/HASHTAG]
Kumbe mamvi ndio anawalipa! Tumeshajua sasa.
 
Weusi nyie n next level. endeleen kufanya good music.
 
Back
Top Bottom