Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

Salam,

Kwa kile kinachoonyesha kuwa ni kuendana na upepo wa kisiasa wasanii wameonekana kuhamia kwenye muziki wenye maudhui ya kisiasa na haswa kwa kinachoendelea katika uongozi uliopo madarakani. Mpaka sasa kuna hizi nyimbo ambazo zina uelekeo huohuo....

1. Ney wa mitego- Wapkuleta chuki.
2. Baghdadi- Usinipangie
3. Weusi- Madaraka (nasubiri official release, ila intro ipo youtube)

List inaendelea......

My take:
Huu ni mgomo baridiiii wa wasanii kwa serikali iliyopo madarakani.
Omba langu, wasanii mje na namna maalumu ya kucheza hizi hits za kipindi hiki.

Kutunga nyimbo kwa kudandia matukio! Hawana kitu kichwani wanangojea mtukia na kuanza kuimba hawawezi kufikiri mambo ya kujenga bali kubomoa. Badala ya kuhamasisha vijana wenzao waweze kujiajiri wanakalia Nashukuru wala sijasikiliza huo wimbo kwani najua ni hopless tu mtu analala anashatuka nakuanza kuimba Ugoro!
 
Kuna hii imetoka Leo ya Bonta kamshirikisha baraka the prince inaitwa zero
 
Back
Top Bottom