Baada ya Kikwete sasa kiongozi wa EAC ni Kenyatta

Baada ya Kikwete sasa kiongozi wa EAC ni Kenyatta

Maisha kwa zamu Kaka. Nakumbuka jinsi jk alivyokuwa mashughuri nje ya nchi. Jk hakuwa Kiongozi wa mfano EAC tu..jk alikuwa Africa nzima. Yaani Rais wa china ameingia tu madarakani 2012 ziara ya Kwanza ameifanya Tz. Tanzania tulipokea maraisi wa 3 siku 1.. Rais Obama..na Bush one day. Jk alikuwa anaonewa Wivu hadi na wenzake Africa Mashariki. Mungu akupe maisha marefu jk..
Na Rais wa China alivyokuja tu bongo wkt anaondoka vyombo vya kimataifa vikaripoti aliondoka na pembe za ndovu za kutosha,hata mimi ningekua rais wa China ningekuja Bongo daily.

dodge
 
Ndie kiongozi smartest kuliko wote EAC kuanzia speech,public speaking,reasoning,speech zisizochosha,civilized mwenye exposure
Ameacha kulewa hadharani siku hizi?

Uzuri Kenyatta na ufisadi hua ni damu damu na ameshashindwa kuudhibiti.

dodge
 
Watu wangekuwa na utulivu vichwani wangekuelewa, bahati mbaya vijana tumekuwa ni vilaza kupindukia, hata kureason kidogo tu hatuwezi, siasa pia zimeharibu mbongo za vijana walio wengi.
Tutakuwa na taifa la mambumbumbu huko mbeleni kama tusipochukua tahadhari.
Kipimo cha kuwa "kiongozi" ni kutangatanga, kujikomba, kuwa mnafiki na kuwazunguka viongozi wenzako?

Hicho kipimo cha uongozi kitakuwa na hitilafu kubwa.

"Prayer Breakfast"...hizi hizi zilimtoa kimasomaso Robert Ouko! Hivi pale Nyayo hamuwezi mkafanya breakfast na kusali hadi kufunga safari za kila mwaka?
Watu wa ajabu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia rahisi na nyepesi ya kutomrudisha huyu jamaa ni kumlazimisha uchaguzi uwe huru na haki chini ya uangalizi wa jumuia za kimataifa tu.Kura zijumlishe kwa uangalizi wa vyama vyote na wajumbe Wa jumuia za ulaya
 
Back
Top Bottom