Baada ya kiwanda kuwaka moto GSM wasema “Tumepata hasara kubwa sana, hakuna kilichosalia"

Baada ya kiwanda kuwaka moto GSM wasema “Tumepata hasara kubwa sana, hakuna kilichosalia"

Ningekuwa serikali,huu mchezo ningeuchimba mpaka nijue kiini cha yote haya.

Makonda ana matatizo yake lakini,ninaona dalili za GSM kuwa mafia sana.
Ni mtu mpumbavu pekee ambaye atahisi Makonda ndiye kachoma.Na ninajua kwa nchi hii wapumbavu ni wengi wataamini kuwa Makonda ndiye kachoma kiwanda.Hawa GSM walijua hili.
Wao hawana hasara kwa sababu watalipwa mabilioni na bima.
Ila watu kama hawa,ni wabaya sana maana wanaonesha hawadhibitiki.
Na kitendo cha wao kujiingiza yanga,basi watanzania tutaona kila aina ya ushenzi kutoka kwa watu hawa.
Kwani GSM amesema hivyo au unahisi tu??.
 
Zipo pickup za lita 2000,So si lazima ununue gari la milioni 500 japo unaweza.
Wewe ni mtaalamu wa Zimamoto??.

Kweli kuna Gari la Zimamoto linalouzwa milioni 30?,

Unajua gari la Zimamoto linatakiwa na sifa zipi?,

Vitu gani vinakuwepo kwenye gari la Zimamoto??.
 
Wewe ni mtaalamu wa Zimamoto??. Kweli kuna Gari la Zimamoto linalouzwa milioni 30?, Unajua gari la Zimamoto linatakiwa na sifa zipi?,Vitu gani vinakuwepo kwenye gari la Zimamoto??.
Sasa vile vipick up vya kuzimia moto vitazidi milioni 30 kweli
 
Kwahiyo Yanga Wafanyaje katika hili
images%20(4).jpg


Sent from my FTE171A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom