Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kwani GSM amesema hivyo au unahisi tu??.Ningekuwa serikali,huu mchezo ningeuchimba mpaka nijue kiini cha yote haya.
Makonda ana matatizo yake lakini,ninaona dalili za GSM kuwa mafia sana.
Ni mtu mpumbavu pekee ambaye atahisi Makonda ndiye kachoma.Na ninajua kwa nchi hii wapumbavu ni wengi wataamini kuwa Makonda ndiye kachoma kiwanda.Hawa GSM walijua hili.
Wao hawana hasara kwa sababu watalipwa mabilioni na bima.
Ila watu kama hawa,ni wabaya sana maana wanaonesha hawadhibitiki.
Na kitendo cha wao kujiingiza yanga,basi watanzania tutaona kila aina ya ushenzi kutoka kwa watu hawa.
Gari la Zimamoto liuzwe Milioni 30??, Are you serious??.Ina maana hata kununua gari la zimamoto la milioni 30 tu linawashinda
Zipo pickup za lita 2000,So si lazima ununue gari la milioni 500 japo unaweza.Gari la Zimamoto liuzwe Milioni 30??, Are you serious??.
Wewe ni mtaalamu wa Zimamoto??.Zipo pickup za lita 2000,So si lazima ununue gari la milioni 500 japo unaweza.
Sasa vile vipick up vya kuzimia moto vitazidi milioni 30 kweliWewe ni mtaalamu wa Zimamoto??. Kweli kuna Gari la Zimamoto linalouzwa milioni 30?, Unajua gari la Zimamoto linatakiwa na sifa zipi?,Vitu gani vinakuwepo kwenye gari la Zimamoto??.
Mimi Sijui, naomba unijibu maswali yangu.Sasa vile vipick up vya kuzimia moto vitazidi milioni 30 kweli
Google utazipataMimi Sijui, naomba unijibu maswali yangu.
Aiseee!!!,Kwa hiyo wewe hujui Kumbe???Google utazipata
Zipo nyingi, google is everything after GOD.Aiseee!!!,Kwa hiyo wewe hujui Kumbe???
Mhhhh!!!!, Haya bhana huo ni mtazamo wako.Zipo nyingi, google is everything after GOD.