zukx
Member
- Apr 23, 2022
- 41
- 14
Nadhani hata mtoto huyo kati yako na muha alipatikana accidentally tu. Sindio ?
hamna accidentally hap hy ni mipang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hata mtoto huyo kati yako na muha alipatikana accidentally tu. Sindio ?
Haupendi challenge na uko na hasira and you can't control itNaona umeuliza swali zuri Ila mwishoni umeambatanisha kejeri kwamba zile coins bado anazo.
Nenda umtafute umuulze kama bado anazo nilitegemea kukuutana na kejeri kama hizi
Ni kweli mama atamuambia mtoto wake baba yako amekutelekeza ...... mtoto atakubaliana na maneno ya mama yake kwa jinsi hali inavyoendaVyovyote iwavyo huo haukua uamuzi mzuri kwa mtoto na trust me umeshaharibu maisha ya mtoto kwa asilimia kadhaa.....matokeo sio sasa ni mbele
Acha huo uzee unakusumbua kwani Mungu si Baba yetu?? kuna ubaya gani mie kutumia jina la Baba yangu naempenda??? wapi kunako Biblia kunasema ukijiita kwa jina langu laana inakupata??....msituletete mafundisho ya kuzimu humuBadilisha Hilo Jina unalotumia mkuu. El Elyon is an ineffable name. It means Lord God the Most High. Are you the most high? Laana nyingine huwa mnajitakia wenyewe
Hao mazungu wa middle east ni wayahudi wako wewe!!Shari yako mkuu. Just mark my words. Hilo Jina wayahudi wenyewe hata kulitamka Tu hawalitamki hovyo hovyo wewe umeona ndo ulitumie kama user name at jf ?
Uzur gani mkuu?Waha Ni Wazuri Sana
Bhudyohe (Utamu)Uzur gani mkuu?
Tayariii kimeumana[emoji1787][emoji1787]Hapo kwa Mnyaturu, siku sio nyingi utapandisha uzi mpya!
Anyway, nakutakia kheri!