Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Ukute anamtafuta akamfungulie mashitaka ya kutekeleza mtoto u never know, kama mtoa anasema kweli kwenye nyuzi zake zote za Muha basi jamaa ni mvumilivu na mpole sana kwa king'ang'aniz cha huyo mwanamke wanaweza uana bure hivyo niko upande wa mleta mada na hongera kwa maamuzi yasiyo na shari . Bwana akuongoze katika hilo AMEN.


Aman iwe nawe EL ELYON
Huo ubavu WA kunifungulia mashitaka kuhusu kutelekeza mtoto Hana angeshaenda muda sana mi nilishampga maelekezo siku naondoka baada ya kumwambia anipe mtoto Wangu niondoke Naye akajiapiza mtoto hatoki land nimkate kichwa na si vinginevyo. Nakmwambia Sawa Ila ikitokea SASA umeamua kutokaa Naye mpeleke nyumbani Kwa Mzee tapata taarifa watamsafirisha. Hiki ndicho nilimalza kuhusu mtoto Wangu.
Haya mengne mnaosema humu nimetelekeza mtoto as if mi sjielewi uwenda huyo mwanamke hamjui Tu ni mpenda Shari na alishaandaa mazngira mi nimfanyie tukio anifunge mara nyingi Tu.
 
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.

Wakati namalizia kujiandaa Naye muha aliamka kujiandaa na kumuandaa mtoto aende shule basi nikiwa napanga begi langu vema huku mtoto wangu amekati pembeni ananitazama Kwa upole Sana niLimuagA Nikampa sarafu nyingi sana za Mia mbili Mia mbili nikamwambia nenda uweke utakuwa unachukua kidogo kidogo uzuri mtoto wangu anajielewa, basi nilimuaga nikabeba begi langu nikatoka muha alikuwa nje nikampita kama umeme maana tulikuwa hatusalimiani kabisa.

Sasa nilipoondoka zilipita Kama wiki mbili muha akaanza kupiga Simu Nikawa sipokei zoezi Hilo alipoona limekuwa gumu akawa anatuma SMS nzito naamka asubuhi nakuta SMS hata 20 zmejaa matusi na kashifa nzito nzto kiukweli skuwa namjibu.
Zoezi Hilo lilikwisha baada ya Mimi kuamua Ku renew line Yangu ya zamani Sana akawa amekosa mawasiliano Yangu.

Sasa akahamia Kwa ndugu zangu ambao alikuwa na namba zao akawa anawapigia ananituhumu kwa tuhuma za uwongo kama zote mara eti sipigi Simu kusalimia mtoto na Mambo MENGINE mengi Tu ya ajabu ajabu.
Nilipopata taarifa hizo nikawapiga marufuku hao ndugu zangu kuwasiliana Naye.

Akahamia FB akiona jina la rafiki Yangu anatuma SMS messenger akidai ananitafuta kwani Mimi nmeondoka sisaidii chochote WALA Sjari kuhusu mtoto bila kusahau kashifa kama zote.
Nako nikapiga pin nikadelete na akaunti Yangu ya FB nikafungua nyngn isiyo na majina Yangu kabisa ndo natumia mpk Leo na sina urafiki na watu au ndugu zangu wote lengo likiwa staki muha apate taarifa zangu Kwa namna yoyoye Ile.

Ilipita miezi kadhaa nashangaa SKU moja jioni nipo zangu nmejipumzsha naona SMS WhatsApp ikisema 👉 naona umeoa mrembo eti.

Mmmmh kucheck namba naona ni ya muha na picha yake. Kuhusu kujua urembo wa mke wangu aliona kwenye profile yangu maana nimeweka ya mke wangu. Mke wangu ni mrembo si mnajua wanyaturu 🤗🤗😂😂🤭.
Niliamua kuvunja Line zangu zote nikasajiri mpya nikahakikisha ndugu zangu hawana zaidi ya watu WA ofisini na baadhi ya rafiki zangu ambao nawaamini Sana Ila Kwa masharti wasimpe mtu yeyote namba yangu mpaka waniulze.

Nikampa na ndugu yangu mmoja namuamini Sana nikamwambia watu wakiniulzia waambie hujui Niko wapi WALA huna mawasiliano yangu.

Mpaka Leo tunavyozungumza hapa imepita miaka muha hajawahi kukata tamaa ya kunisaka.
Misimamo wangu stakanyaga tena alipo na staki kuonana Naye Kwa namna yoyote Ile staki Dar huwa naenda kikazi lakini sjawahi shawishika hata KWENDA kumsalimia mtoto wangu japo inaniuma lakini tafanyaje SASA wakuu.

Karibuni wakuu Kwa maoni, kejeri, matusi, ujuaji, dharau, ushauri, pole NK.
Mhhhh, hizi tabia ni kama za Mama Diamond tena mwanamke mwenyewe ni Muha, nahisi atakuwa yeye tu. Hongera mkuu.
 
Bro wewe ndio unajua ukubwa wa vita unayo pigana sisi wengine wasomaji tu .... Kama mbinu ulio amua kuitumia umeona inakusaidia kumbuluza adui yako kisawasawa Basi shikilia hapohapo na piga spana zaidiii....hayo tu
Kwa kweli imenisaidia Sana maana alijua akilazmisha kubaki na mtoto siwezi kuwa mbali na kuwasiliana Naye kisa Mtoto SASA nilijisemea hakika stapiga Simu wala SMS kuhusu kusalimia mtoto na stakanyaga tena mji ule sasa akiwasiliana na ndugu yangu yeyote lazma aseme eti sipigi hata Simu kusalimia mtoto wakati mwanzo hakuwahi sema hayo sahivi nini kinamuwasha alinitukania mpaka wazazi Wangu na ndugu zangu.
 
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimes

Ana feli wapi kula hiyo mbususu inayojileta.

Halafu wanaume rijali HATUKIMBII WATOTO, TUNALEA NA KUWAKUZA.

#YNWA
Haya peNGINE Huko kwenu ndo mnafundishana ulijari ni kulea watoto haya endeleeni maana hujui unaongea ujinga gani narudia mara Kwa mara humu kuhusu mtoto Wangu bado kuna wapuuzi wanalazmisha nimetelekeza mtoto SASA stajibu tena kuhusu mtoto
 
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimes
Haya MTaFUTE YUle muha mwenzio uoe mvumiliane.
Swala la mwanamke mvumilivu, malaya, mpole, mkali NK havina kabila siku zote makabila yote Yana wadada wavumilivu na wapiganaji kwenye familia zao.
Fatilia kesi ya Mbowe Yule mke WA komando adamoo uone alivyopambana kutafuta mumewe mpaka tone la mwisho akajua Yuko wapi huo ni uvumilivu mkubwa Sana je Naye ni muha. Ujinga na ujuaji mwingi upo humu jf MTU uspokuwa makini ukiyafata ya humu utashindwa simamia msimamo wako na maisha yako kwahiyo sitayumbishwa na Aina ya maneno yoyote Yale toka humu zaidi taangalia nachohisi kitanifaa Mimi na maisha yangu si kuwapendeza wanadamu over.
 
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimes
Dear we ndugu zako wote unaelewana nao Ninao NduGu NInaoelEwana naO Sana Na wengine ma snitch tu Adui wa mtu Ni Yul Wa nyuMBANi MWakE. Siwezi kuja pendwa na kilA mtu Maana mimi si pesa
 
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimes
Dear we ndugu zako wote unaelewana nao Ninao NduGu NInaoelEwana naO Sana Na wengine ma snitch tu Adui wa mtu Ni Yul Wa nyuMBANi MWakE. Siwezi kuja pendwa na kilA mtu Maana mimi si pesa
 
Sasa mtoto anaingiaje kwenye Ukorofi wa baba na mama???

Mama atatumia chance ya mtoto kulazimisha kurudiana na baba au kuibua kasheshe za kila namna.
Yani huyo mama hatashuka akubali ni kulea mtoto tu, lazima aje na matukio mazito zaidi
 
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.

Wakati namalizia kujiandaa Naye muha aliamka kujiandaa na kumuandaa mtoto aende shule basi nikiwa napanga begi langu vema huku mtoto wangu amekati pembeni ananitazama Kwa upole Sana niLimuagA Nikampa sarafu nyingi sana za Mia mbili Mia mbili nikamwambia nenda uweke utakuwa unachukua kidogo kidogo uzuri mtoto wangu anajielewa, basi nilimuaga nikabeba begi langu nikatoka muha alikuwa nje nikampita kama umeme maana tulikuwa hatusalimiani kabisa.

Sasa nilipoondoka zilipita Kama wiki mbili muha akaanza kupiga Simu Nikawa sipokei zoezi Hilo alipoona limekuwa gumu akawa anatuma SMS nzito naamka asubuhi nakuta SMS hata 20 zmejaa matusi na kashifa nzito nzto kiukweli skuwa namjibu.
Zoezi Hilo lilikwisha baada ya Mimi kuamua Ku renew line Yangu ya zamani Sana akawa amekosa mawasiliano Yangu.

Sasa akahamia Kwa ndugu zangu ambao alikuwa na namba zao akawa anawapigia ananituhumu kwa tuhuma za uwongo kama zote mara eti sipigi Simu kusalimia mtoto na Mambo MENGINE mengi Tu ya ajabu ajabu.
Nilipopata taarifa hizo nikawapiga marufuku hao ndugu zangu kuwasiliana Naye.

Akahamia FB akiona jina la rafiki Yangu anatuma SMS messenger akidai ananitafuta kwani Mimi nmeondoka sisaidii chochote WALA Sjari kuhusu mtoto bila kusahau kashifa kama zote.
Nako nikapiga pin nikadelete na akaunti Yangu ya FB nikafungua nyngn isiyo na majina Yangu kabisa ndo natumia mpk Leo na sina urafiki na watu au ndugu zangu wote lengo likiwa staki muha apate taarifa zangu Kwa namna yoyoye Ile.

Ilipita miezi kadhaa nashangaa SKU moja jioni nipo zangu nmejipumzsha naona SMS WhatsApp ikisema [emoji117] naona umeoa mrembo eti.

Mmmmh kucheck namba naona ni ya muha na picha yake. Kuhusu kujua urembo wa mke wangu aliona kwenye profile yangu maana nimeweka ya mke wangu. Mke wangu ni mrembo si mnajua wanyaturu [emoji847][emoji847][emoji23][emoji23][emoji2960].
Niliamua kuvunja Line zangu zote nikasajiri mpya nikahakikisha ndugu zangu hawana zaidi ya watu WA ofisini na baadhi ya rafiki zangu ambao nawaamini Sana Ila Kwa masharti wasimpe mtu yeyote namba yangu mpaka waniulze.

Nikampa na ndugu yangu mmoja namuamini Sana nikamwambia watu wakiniulzia waambie hujui Niko wapi WALA huna mawasiliano yangu.

Mpaka Leo tunavyozungumza hapa imepita miaka muha hajawahi kukata tamaa ya kunisaka.
Misimamo wangu stakanyaga tena alipo na staki kuonana Naye Kwa namna yoyote Ile staki Dar huwa naenda kikazi lakini sjawahi shawishika hata KWENDA kumsalimia mtoto wangu japo inaniuma lakini tafanyaje SASA wakuu.

Karibuni wakuu Kwa maoni, kejeri, matusi, ujuaji, dharau, ushauri, pole NK.
Kidogo umenistua mkuu,,,umesema miaka imepita bila kukuona mtoto,,,,fikra zako unadhania analelewa na Nani....???
 
Mkuu Tatzo humjui Mtu ninayepambana naye Yule alishaapa lazma anifunge Tu. Kuhisi mtoto sjamtelekeza nilimwambia anipe mtoto Wangu niondoke naye akajibu. [emoji117] Labda uniwekee panga shingoni unikate kichwa ndo uchukue mtoto.
Lengo langu nilitaka nimalzane naye kabisa kabisa na mtoto nichukue. Sasa kama huelewi mpaka hapo amini unavyoamini.
Tatizo unataka kushinda kuliko kupojea mawazo mapya ya kujenga
 
Mama atatumia chance ya mtoto kulazimisha kurudiana na baba au kuibua kasheshe za kila namna.
Yani huyo mama hatashuka akubali ni kulea mtoto tu, lazima aje na matukio mazito zaidi
Watu wengine HUMU ni Kula kulala wengine wapo geto Tu wengine hawajawahi kuishi na mke hawajui changamoto ZAKE na huwà ni wajuaji kweli kwahiyo wao huchukulia poa tena hutoa majibu rahisi Tu kwamba si uende ufanye hivi
 
Kidogo umenistua mkuu,,,umesema miaka imepita bila kukuona mtoto,,,,fikra zako unadhania analelewa na Nani....???
Kwani We umeona nmeandika yupo Kwa Nani?
 
Shari yako mkuu. Just mark my words. Hilo Jina wayahudi wenyewe hata kulitamka Tu hawalitamki hovyo hovyo wewe umeona ndo ulitumie kama user name at jf ?

Ur mindset fit in the narration of Judges 21: 25 " In those days, Israel had no King so everyone did as they saw it fit"

So do to you as what you see it fit .

Matter fact I am a Muslim.
Naam uko sahihi...amechukua jina la Mungu na sifa yake akajiita hivyo....hii ni tofauti na majina kama Daniel, Joshua n.k ambayo nayo yameelezea sifa za Mungu.

Yaani kama hauwezi ukachagua username ya namna hiyo...maana username ni kama jina lako uliloamua kujitambulisha nalo.

As a mere mortal...it is wrong for one to identify himself as "The Most High God."
 
Naam uko sahihi...amechukua jina la Mungu na sifa yake akajiita hivyo....hii ni tofauti na majina kama Daniel, Joshua n.k ambayo nayo yameelezea sifa za Mungu.

Yaani kama hauwezi ukachagua username ya namna hiyo...maana username ni kama jina lako uliloamua kujitambulisha nalo.

As a mere mortal...it is wrong for one to identify himself as "The Most High God."
Yeah sure Yani Ni Sawa Na Muislamu ajiite Allahu Aqbar
 
Huyo m
Na bahati mbaya hujui Nina ndugu WA Aina gani aisee kuna majitu ni manafiki Sana ukae ukijua.
uha ni wa Kigoma, Kasulu, Kibondo, Manyovu au, nataka nikupe mgawanyo wa Waha. Msiwe mnakurupuka, maana wapo waha wavumilivu, wapo waha wenye tabia kama wahaya na wapo waha wenye roho mbaya kama za Warundi, itategemeana na sehemu atokapo
 
Back
Top Bottom