Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mimi hata sielewi unachotaka ni nini.Shari yako mkuu. Just mark my words. Hilo Jina wayahudi wenyewe hata kulitamka Tu hawalitamki hovyo hovyo wewe umeona ndo ulitumie kama user name at jf ?
Ur mindset fit in the narration of Judges 21: 25 " In those days, Israel had no King so everyone did as they saw it fit"
So do to you as what you see it fit .
Matter fact I am a Muslim.
Achana na mawazo ya kijinga kuabudu majina. Kuna jesus wengi tu huko ulaya wengine wanacheza mpira, je hao nao wamekua yesu anaeabudiwa?Badilisha Hilo Jina unalotumia mkuu. El Elyon is an ineffable name. It means Lord God the Most High. Are you the most high? Laana nyingine huwa mnajitakia wenyewe
Huj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.Kweli wanaume mna moyo, yani unatelekeza mtoto[emoji24][emoji24]
Jamaa Anasahau wao wanajina issah wakimaanisha ndiye Yesu wakati wakristo WA kiafrika hatuwezi ITA mtoto Kwa Jina la Yesu.Achana na mawazo ya kijinga kuabudu majina. Kuna jesus wengi tu huko ulaya wengine wanacheza mpira, je hao nao wamekua yesu anaeabudiwa?
Nikijiita Mungu hapo nakua mungu ama nikimuita huyo mungu mbwa kweli anakua mbwa?
Ndio maana waafrika mmekua wapumbavu kiasi kwamba mnaambiwa majina yenu ya asili kama Mayala, maduhu, Ngonyani, mwita ama kimaro ni ya kishetani ila John, Paul, Christopher, Jackline, Evelyn, Angela, Deborah, nk ndio majina sahihi, ya kimungu, majina yaliyobarikiwa na mnakubali.
Sasa mimi naitwa Mungu El Shadai, unasemaje?
Ninao vp unataka wafanye nini kwamba waingilie Kati au?Huna wazazi wote wawili?yani Baba na mama
Naona umeuliza swali zuri Ila mwishoni umeambatanisha kejeri kwamba zile coins bado anazo.Sasa kama huna kabisa mawasiliano dogo unamsaidia vipi? Au umepiga chini woote au zile "COINS NYINGI" bado anazo?
Hiyo ni dalili kuwa unamuogopa huyo MuhaBlock inasaidia Nini Mtu anachukua namba nyingne anatuma masms sa yanini kuhangaika naye kwanini nisibadili namba Tu
Mlokole asiyesamehe.Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.
El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.
El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.
El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.
El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.
Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.
Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.
Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
[emoji135]Huj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.
Nilikuwa nimeisha kabisa toka nmeanza uhusiano Naye nikiwa chuo nilibadilika nilikonda Nikawa mtu WA hovyo nikajitenga na rafiki zangu wote.
Sasa we sema wanaume Wana moyo kutelekezwa mtoto watu wakitubuliwa hutelekeza familia kabisa ya watoto hata SITA mtu analala mbele maana nyie si huwa mnajidai mtoto ndo siraha au fimbo ya kumbana mwanaume asichomoe betri kama alivyofanya mwenzio. At last mtoto ni wangu na atakuja Tu.
[emoji135]Ninao vp unataka wafanye nini kwamba waingilie Kati au?
Mkuu sina haja ya kusumbua wazazi kama mwanamke nilitafuta mwenyewe wakati WA kutafuta sikuwashirikisha maji yamezdi unga napaswa kutafuta namna mwenyewe ninywe uji Tu au nimwage Tu au nikatafute unga mwngne niongezee.
Ifikie mahali tusiwabebeshe Sana mizigo wazazi Kwa Mambo tuliyoyatengeneza wenyewe pambana uyamalize over.
Kuokoa kitu kingine na kuiishi uokovu ni kitu kingine,unajiita mlokole wakati una dhambi ya kutotimizia wajibu wako kwa mtoto wako uliomzaa kisa ugomvi na mzazi mwenzio,tena kwa maksudi.Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.
El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.
El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.
El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.
El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.
Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.
Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.
Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
Vyovyote iwavyo huo haukua uamuzi mzuri kwa mtoto na trust me umeshaharibu maisha ya mtoto kwa asilimia kadhaa.....matokeo sio sasa ni mbeleHuj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.
Nilikuwa nimeisha kabisa toka nmeanza uhusiano Naye nikiwa chuo nilibadilika nilikonda Nikawa mtu WA hovyo nikajitenga na rafiki zangu wote.
Sasa we sema wanaume Wana moyo kutelekezwa mtoto watu wakitubuliwa hutelekeza familia kabisa ya watoto hata SITA mtu analala mbele maana nyie si huwa mnajidai mtoto ndo siraha au fimbo ya kumbana mwanaume asichomoe betri kama alivyofanya mwenzio. At last mtoto ni wangu na atakuja Tu.