Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Shari yako mkuu. Just mark my words. Hilo Jina wayahudi wenyewe hata kulitamka Tu hawalitamki hovyo hovyo wewe umeona ndo ulitumie kama user name at jf ?

Ur mindset fit in the narration of Judges 21: 25 " In those days, Israel had no King so everyone did as they saw it fit"

So do to you as what you see it fit .

Matter fact I am a Muslim.
Mkuu Mimi hata sielewi unachotaka ni nini.

Nmekwambia Hilo si jina la Mungu Ila ni sifa za Mungu wewe bado unalazmisha ni jina lake.

Nimetoa mpaka na mfano kuna watu wengi Sana wanaitwa ELISHA tena mpaka kuna nabii anaitwa ELISHA hili jina Elisha ndo EL SHAADAI sijui kama unalijua Hilo na Elisha alikuwa ni myahudi ukiita Elisha ni Kwa Kiswahili Ila Kwa kiebrania ndo el Shadai.

Tayari umesema wewe ni muislam sasa tamaduni za ukristo na uislam wapi na wapi Mzee.

Unaonaje ukaendelea na maisha yako Tu na dini yako Nani nikaendelea na dini yangu hasa ukizngatia nyie huwa mnaamini dini zooote hawana Mungu na ni makafiri Ila nyie Tu ndo mna MUNGU kwahiyo tusiingiliane maana hata huko kwenu mna majina kama hayo yaliyobeba sifa za Allah so jikite huko Mzee.
 
Badilisha Hilo Jina unalotumia mkuu. El Elyon is an ineffable name. It means Lord God the Most High. Are you the most high? Laana nyingine huwa mnajitakia wenyewe
Achana na mawazo ya kijinga kuabudu majina. Kuna jesus wengi tu huko ulaya wengine wanacheza mpira, je hao nao wamekua yesu anaeabudiwa?

Nikijiita Mungu hapo nakua mungu ama nikimuita huyo mungu mbwa kweli anakua mbwa?

Ndio maana waafrika mmekua wapumbavu kiasi kwamba mnaambiwa majina yenu ya asili kama Mayala, maduhu, Ngonyani, mwita ama kimaro ni ya kishetani ila John, Paul, Christopher, Jackline, Evelyn, Angela, Deborah, nk ndio majina sahihi, ya kimungu, majina yaliyobarikiwa na mnakubali.

Sasa mimi naitwa Mungu El Shadai, unasemaje?
 
Kweli wanaume mna moyo, yani unatelekeza mtoto[emoji24][emoji24]
Huj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.

Nilikuwa nimeisha kabisa toka nmeanza uhusiano Naye nikiwa chuo nilibadilika nilikonda Nikawa mtu WA hovyo nikajitenga na rafiki zangu wote.

Sasa we sema wanaume Wana moyo kutelekezwa mtoto watu wakitubuliwa hutelekeza familia kabisa ya watoto hata SITA mtu analala mbele maana nyie si huwa mnajidai mtoto ndo siraha au fimbo ya kumbana mwanaume asichomoe betri kama alivyofanya mwenzio. At last mtoto ni wangu na atakuja Tu.
 
Achana na mawazo ya kijinga kuabudu majina. Kuna jesus wengi tu huko ulaya wengine wanacheza mpira, je hao nao wamekua yesu anaeabudiwa?

Nikijiita Mungu hapo nakua mungu ama nikimuita huyo mungu mbwa kweli anakua mbwa?

Ndio maana waafrika mmekua wapumbavu kiasi kwamba mnaambiwa majina yenu ya asili kama Mayala, maduhu, Ngonyani, mwita ama kimaro ni ya kishetani ila John, Paul, Christopher, Jackline, Evelyn, Angela, Deborah, nk ndio majina sahihi, ya kimungu, majina yaliyobarikiwa na mnakubali.

Sasa mimi naitwa Mungu El Shadai, unasemaje?
Jamaa Anasahau wao wanajina issah wakimaanisha ndiye Yesu wakati wakristo WA kiafrika hatuwezi ITA mtoto Kwa Jina la Yesu.
Ila tunaita Emanuel hii ni sifa ya Yesu yaani Mungu pamoja nasi.
 
Huna wazazi wote wawili?yani Baba na mama
Ninao vp unataka wafanye nini kwamba waingilie Kati au?
Mkuu sina haja ya kusumbua wazazi kama mwanamke nilitafuta mwenyewe wakati WA kutafuta sikuwashirikisha maji yamezdi unga napaswa kutafuta namna mwenyewe ninywe uji Tu au nimwage Tu au nikatafute unga mwngne niongezee.
Ifikie mahali tusiwabebeshe Sana mizigo wazazi Kwa Mambo tuliyoyatengeneza wenyewe pambana uyamalize over.
 
Sasa kama huna kabisa mawasiliano dogo unamsaidia vipi? Au umepiga chini woote au zile "COINS NYINGI" bado anazo?
Naona umeuliza swali zuri Ila mwishoni umeambatanisha kejeri kwamba zile coins bado anazo.

Nenda umtafute umuulze kama bado anazo nilitegemea kukuutana na kejeri kama hizi
 
Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.

El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.

El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.

El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.

El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.

Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.

Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.

Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
Mlokole asiyesamehe.
Mlokole aliyezini.
Mlokole aliyekimbia mtoto.
 
Huj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.
Nilikuwa nimeisha kabisa toka nmeanza uhusiano Naye nikiwa chuo nilibadilika nilikonda Nikawa mtu WA hovyo nikajitenga na rafiki zangu wote.
Sasa we sema wanaume Wana moyo kutelekezwa mtoto watu wakitubuliwa hutelekeza familia kabisa ya watoto hata SITA mtu analala mbele maana nyie si huwa mnajidai mtoto ndo siraha au fimbo ya kumbana mwanaume asichomoe betri kama alivyofanya mwenzio. At last mtoto ni wangu na atakuja Tu.
[emoji135]
 
Ninao vp unataka wafanye nini kwamba waingilie Kati au?
Mkuu sina haja ya kusumbua wazazi kama mwanamke nilitafuta mwenyewe wakati WA kutafuta sikuwashirikisha maji yamezdi unga napaswa kutafuta namna mwenyewe ninywe uji Tu au nimwage Tu au nikatafute unga mwngne niongezee.
Ifikie mahali tusiwabebeshe Sana mizigo wazazi Kwa Mambo tuliyoyatengeneza wenyewe pambana uyamalize over.
[emoji135]
 
Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.

El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.

El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.

El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.

El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.

Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.

Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.

Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
Kuokoa kitu kingine na kuiishi uokovu ni kitu kingine,unajiita mlokole wakati una dhambi ya kutotimizia wajibu wako kwa mtoto wako uliomzaa kisa ugomvi na mzazi mwenzio,tena kwa maksudi.

Unayajua maandiko ila huyaishi hayo maandiko ya Mungu,manake pamoja na kuyajua haya kujengi kiroho sababu huyaishi.
 
Mkuu utaona kama baadhi ya watu wanakukejeli hapana haya mambo yapo kila mahala wengi wamepitia nawanapitia pengine zaidi yahili lako ingetosha kusema kwauwezo wako wakupambana nachangamoto kama hii hukuwa nachaguo zaid ili ujifunze zaidi kwakuwa maisha bado yanaedelea lakini pia unajaribu kuwaaminisha watu kwamba hakuna njia nyingine zaid ya uliyochukua labda ungesema maamzi yako nihayo umeenda mbali kusema ww nimlokole sijui lengo lako la kuingiza hii imani yako hapa.
 
Huj unachokisema narudia tena hujui unachokisema unafikiri Mimi napenda unataka nifanyaje Kwa mfano unataka nikatumie nguvu au niwe na mawasiliano Na Yule mwanamke ili at last aanze kunisumbua ikibidi anipige matukio maana hanitakii mema kabisa Mimi ndiye najua na mengne sjasimulia Tu.
Nilikuwa nimeisha kabisa toka nmeanza uhusiano Naye nikiwa chuo nilibadilika nilikonda Nikawa mtu WA hovyo nikajitenga na rafiki zangu wote.
Sasa we sema wanaume Wana moyo kutelekezwa mtoto watu wakitubuliwa hutelekeza familia kabisa ya watoto hata SITA mtu analala mbele maana nyie si huwa mnajidai mtoto ndo siraha au fimbo ya kumbana mwanaume asichomoe betri kama alivyofanya mwenzio. At last mtoto ni wangu na atakuja Tu.
Vyovyote iwavyo huo haukua uamuzi mzuri kwa mtoto na trust me umeshaharibu maisha ya mtoto kwa asilimia kadhaa.....matokeo sio sasa ni mbele
 
SIWEZI KUBADILISHA LINE KISA MWANAMKE... KUTELEKEZA WATOTO WAKO KISA UPUUZI WA MAMA YAO NI UJINGA!

Kama umeoa mke mzuri zaidi yake hukutakiwa kuendelea kuteseka hivi.
 
Back
Top Bottom