akunyimae kunde akupunguzia ushuzi endelea mbele, atakuja kushituka biashara yako imekuwa yeye mshahara wake uko pale paleBinti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita. akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni mtumishi mimi ni biashara
Dah mwanangu basi tu! Mwaka unaisha vibaya
Sijui kwa nini kwa vijana wadogo, inakuwa ni ngumu kumtema mtu anaeye kupa stressš¤Mteme, fanya yako.
Unataka kusemaješ„¶Changamsha genge
Tuanze kuleta humu mabandiko yako ya kutunga?..Unataka kusemaješ„¶
Daah! Sasa wanataka tufanye nini?Binti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni mtumishi mimi ni biashara
Dah mwanangu basi tu! Mwaka unaisha vibaya
A mission lostFocus on your mission!