Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tunawambia vijana usiweleze kwa mwanamke maana yeye hakuna anachowekeza kwako zaidi ya hisia tu ambazo zinabadilika muda wowote.Hicho kikombe ni lazima kila mwanaume akinywe, ujinga ni kuendelea kufagilia nyapu master.. endelea kupambania kombe tu