Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nasema kilicho chako kitarudi, maybe itachukua muda but kitarudiLikuepukalo Lina heri na wewe.mpotezee
Kicheche akikukimbia wewe muache ,atarudi kesho analia
Akili hazijakomaa. Mapenzi ya kwenye tamthilia yanawaongopea.Sijui kwa nini kwa vijana wadogo, inakuwa ni ngumu kumtema mtu anaeye kupa stress🤔
Unazingua braza akia MUNGU Tena, achana nae uyo wewe Fanya biashara, business is way onto richest atakukumbuka akiaza una real estate kibao mda uo yeye ana nyumba ya mkopo CRDB wanautaka kuiuza unainunua kumkomoa dadek🐐Binti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni mtumishi mimi ni biashara
Dah mwanangu basi tu! Mwaka unaisha vibaya
Kuna weleta uzi kila wiki wanachangamoto za kuacha, kubadilika jinsia, kuacha na kuachwa.
Wengine humu sijui ni transgender
Una matatizo some how?? Dou think kil mtu ana mda wa kujokeKuna weleta uzi kila wiki wanachangamoto za kuacha, kubadilika jinsia, kuacha na kuachwa.
Wengine humu sijui ni transgender
IndeedUsilalamike hakuna faida yoyote anayopata mwanaume kwenye mahusiano
Nyege Tu ndo zinatutia upofu
🤣🤣✍️Kuna weleta uzi kila wiki wanachangamoto za kuacha, kubadilika jinsia, kuacha na kuachwa.
Wengine humu sijui ni transgender
Ulimsonesha?Binti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni mtumishi mimi ni biashara
Dah mwanangu basi tu! Mwaka unaisha vibaya
SafiBinti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni mtumishi mimi ni biashara
Dah mwanangu basi tu! Mwaka unaisha vibaya
HapanaUlimsonesha?
Humu njoo na maandazi tu chai utapewa bure...
Watu tuna masononeko unadhani Kila kitu ni chaiHumu njoo na maandazi tu chai utapewa bure...