Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku wanalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii ya kitimoto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba na kujengea tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama miezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu. .

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rahisi inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Hivyo nilisafiri hadi kijijini ambako nililinunua kuku 31 ambao ndiyo nimeanza nao.. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na miezi mitano. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.

Hongera sana ndugu. Kwa kweli unahitaji pongezi kwa uamuzi, ujasiri, kazi na hatua uliyofikia.

Mzee wangu aliacha kazi wakati nikiwa mdogo sana akaanza kilimo na ufugaji. Ng'ombe mmoja alikuwa anatoa mpaka lita 24 za maziwa asubuhi na lita mpaka 18 jioni kama wakila vizuri na maji ya kutosha. You can imagine how much milk we were getting from 4 - 6 cows. Tulikuwa tunauza maziwa na mengine tunagawa kwa ndugu wa karibu na marafiki. Kilimo kilikuwa cha maharage na mahindi. Tulikuwa tunalima mpaka heka 300 za maharage.

Kipindi hicho sikuelewa kwanini mzee aliacha kazi akiwa kijana bado. Baadae baada ya kumaliza college na kufanya kazi kwa miaka 3 ndio nikapata sababu.

Keep it up. Everybody has to start somewhere.
You have chosen the right path. Wish you all the best.
 
Hongera sana ndugu. Kwa kweli unahitaji pongezi kwa uamuzi, ujasiri, kazi na hatua uliyofikia.

Mzee wangu aliacha kazi wakati nikiwa mdogo sana akaanza kilimo na ufugaji. Ng'ombe mmoja alikuwa anatoa mpaka lita 24 za maziwa asubuhi na lita mpaka 18 jioni kama wakila vizuri na maji ya kutosha. You can imagine how much milk we were getting from 4 - 6 cows. Tulikuwa tunauza maziwa na mengine tunagawa kwa ndugu wa karibu na marafiki. Kilimo kilikuwa cha maharage na mahindi. Tulikuwa tunalima mpaka heka 300 za maharage.

Kipindi hicho sikuelewa kwanini mzee aliacha kazi akiwa kijana bado. Baadae baada ya kumaliza college na kufanya kazi kwa miaka 3 ndio nikapata sababu.

Keep it up. Everybody has to start somewhere.
You have chosen the right path. Wish you all the best.
Asante mkuu.
 
Kila la kheri kaka,nitakutafuta,mimi nimepanda Mitiki Lindi
"Vox populi,Vox dei"
 
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku wanalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii ya kitimoto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba na kujengea tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama miezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu. .

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rahisi inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Hivyo nilisafiri hadi kijijini ambako nililinunua kuku 31 ambao ndiyo nimeanza nao.. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na miezi mitano. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.

Leo nimeongeza product moja ya hayo majogoo makubwa meupe. ( Jina nitalifahamu badaye).Nimemnunua kwenye maonyesho ya nanenane Hapa Morogoro.. Ebu cheki anavyopendeza Kati ya Kundi la kuku.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    140.5 KB · Views: 417
Hongera sana ndugu. Kwa kweli unahitaji pongezi kwa uamuzi, ujasiri, kazi na hatua uliyofikia.

Mzee wangu aliacha kazi wakati nikiwa mdogo sana akaanza kilimo na ufugaji. Ng'ombe mmoja alikuwa anatoa mpaka lita 24 za maziwa asubuhi na lita mpaka 18 jioni kama wakila vizuri na maji ya kutosha. You can imagine how much milk we were getting from 4 - 6 cows. Tulikuwa tunauza maziwa na mengine tunagawa kwa ndugu wa karibu na marafiki. Kilimo kilikuwa cha maharage na mahindi. Tulikuwa tunalima mpaka heka 300 za maharage.

Kipindi hicho sikuelewa kwanini mzee aliacha kazi akiwa kijana bado. Baadae baada ya kumaliza college na kufanya kazi kwa miaka 3 ndio nikapata sababu.

Keep it up. Everybody has to start somewhere.
You have chosen the right path. Wish you all the best.

Vp mliendeleza mradi wa Mshua au mnahangaika na ajira tu? Una bahati sana cause una very good starting point
 
unaajiriwa kwa muda wa miaka 30 unapata pension lets say ya shs mil 40,wakati ukijipanga ktk ujasiriamali utahangaika mwaka mmoja wa kujiestablish,40 mil can be generated on year,bravo eberhard.

Hivyo ndivyo nilivyo fikiria miaka 23 iliyopita. Kufanikiwa au la ni topic ndefu kiasi. Sio lazima iwe jinsi ulivyo fikiria au ulivyo panga, unaweza kufaulu au kufeli. Muhimu ni ukisha anza ujasiriamali usikate tamaa hata iwe vipi. Safari ya kilometa 1000 uanza na hatua ya kwanza ila huko mbele safari yako itakumbwa na mambo mengi, angalie tu usije ukageuza na kuanza kurudi nyuma. Hii hasa inawahusu wanao amua kuwacha ajira nzuri ili kujikita kwenye ujasiriamali. Lazima uwe umeamua na ukakubali liwalo na liwe.
Raha zake ni nyingi ukiweza kuyatawala maisha yako tofauti na mtu anaye subiria pensheni.
 
Leo nimeongeza product moja ya hayo majogoo makubwa meupe. ( Jina nitalifahamu badaye).Nimemnunua kwenye maonyesho ya nanenane Hapa Morogoro.. Ebu cheki anavyopendeza Kati ya Kundi la kuku.

Hongera sana mkuu,this is one step ahead.
 
Kwa sasa kuku wangu wanaendelea kutaga kwa spidi inayonifanya niamini kuwa ni kwa uwezo wa aliye juu tu. pia wameanza kutotoa. Hata kama kwa kuuza mayai tu sasa nitaweza kumlipa mfanyakazi. Nawakaribisha sana vijana wenzangu kwenye ufugaji. Kama mnazitaka Mali ni kweli mtazipata shambani. Tusiangalie ukubwa wa ELIMU yetu bali tuangalie namna tunavyoweza kujikomboa kiuchumi pasipo kupiga kelele kwa seikali kwamba haiongezi mishahara. Pia kwa waliokosa ELIMU hakuna haja ya kujiona wanyonge karibuni tuje tufuge. Mungu aliye juu atatubariki na kutujaza zaidi ya shetani anavyowajaza wezi wa kutumia karamu.
 
Mtoa mada naomba uniPM ni maeneo yapi hayo Morogoro naweza pata shamba la hekari 10 kwa milioni 1.3. Am more than serious
 
Kwa sasa kuku wangu wanaendelea kutaga kwa spidi inayonifanya niamini kuwa ni kwa uwezo wa aliye juu tu. pia wameanza kutotoa. Hata kama kwa kuuza mayai tu sasa nitaweza kumlipa mfanyakazi. Nawakaribisha sana vijana wenzangu kwenye ufugaji. Kama mnazitaka Mali ni kweli mtazipata shambani. Tusiangalie ukubwa wa ELIMU yetu bali tuangalie namna tunavyoweza kujikomboa kiuchumi pasipo kupiga kelele kwa seikali kwamba haiongezi mishahara. Pia kwa waliokosa ELIMU hakuna haja ya kujiona wanyonge karibuni tuje tufuge. Mungu aliye juu atatubariki na kutujaza zaidi ya shetani anavyowajaza wezi wa kutumia karamu.

wapige picha basi hao vifaranga wapya,nipate fahari ya macho.Be blessed
 
lipo Kwa makunganya. Ukiwa unaenda Dodoma ni kijiji kinachofata baada ya pale mizani. Kituo Cha kushukia kinaitwa stop. Pale utachukua pikipiki kueelekea sehemu inayoi majichumvu. Ni jirani sana na kiwanda Cha nyama.
Ekari ni bei gani mkuu... nafikiria kuongeza mashamba maeneo hayo...!!
 
Mkuu Eberhard, nimelazimika kujiunga na JF baada ya kusoma topic yako. Ninakupongeza sana!! Mimi ni mmoja wa waota ndoto kama ulizoota kabla. Ni suala la wakati hakika kuajiriwa ni sehemu ya manyanyaso.
Kila kheri Mungu akutangulie na akutie nguvu.
"Hakika kama mnataka mali mtaipata shambani".
 
Mkuu Eberhard, nimelazimika kujiunga na JF baada ya kusoma topic yako. Ninakupongeza sana!! Mimi ni mmoja wa waota ndoto kama ulizoota kabla. Ni suala la wakati hakika kuajiriwa ni sehemu ya manyanyaso.
Kila kheri Mungu akutangulie na akutie nguvu.
"Hakika kama mnataka mali mtaipata shambani".
Mimi ni nani hata watu wajiunge Jf kwa ajili yangu? Ashukuliwe Mungu wa mbinguni kuniwezesha kufikiria hayo na kuyatenda kivitendo. Sifa na utukufu ni kwake na jina lake lihimidiwe. Ninawahaidi kuendelea kuwapasha zaidi juu ya maendeleo ya mfungo yangu. Tupo pamoja ngumbuke.
 
Mimi ni nani hata watu wajiunge Jf kwa ajili yangu? Ashukuliwe Mungu wa mbinguni kuniwezesha kufikiria hayo na kuyatenda kivitendo. Sifa na utukufu ni kwake na jina lake linimidiwe. Ninawahaidi kuendelea kuwapasha zaidi juu ya maendeleo ya mfungo yangu. Tupo pamoja ngumbuke.

Mkuu nimekuwa nikiifuatilia topic yako tangu cku ya kwanza uIpost hapa! nimefarijika sn wk hii nitakuja MORO niatomba kukuona unishauri baadh ya mambo cz nami naingia kwenye hyo Prjct!
 
Mimi ni nani hata watu wajiunge Jf kwa ajili yangu? Ashukuliwe Mungu wa mbinguni kuniwezesha kufikiria hayo na kuyatenda kivitendo. Sifa na utukufu ni kwake na jina lake linimidiwe. Ninawahaidi kuendelea kuwapasha zaidi juu ya maendeleo ya mfungo yangu. Tupo pamoja ngumbuke.

Mkuu nimekuwa nikiifuatilia topic yako tangu cku ya kwanza uIpost hapa! nimefarijika sn wk hii nitakuja MORO nitaomba kukuona unishauri baadh ya mambo cz nami naingia kwenye hyo Prjct!
 
Mkuu nimekuwa nikiifuatilia topic yako tangu cku ya kwanza uIpost hapa! nimefarijika sn wk hii nitakuja MORO nitaomba kukuona unishauri baadh ya mambo cz nami naingia kwenye hyo Prjct!
Jumapili pekee katika wiki hii nategemea kuwa Moro. Alhamisi hadi jumamosi Dsm
 
Leo nimeongeza product moja ya hayo majogoo makubwa meupe. ( Jina nitalifahamu badaye).Nimemnunua kwenye maonyesho ya nanenane Hapa Morogoro.. Ebu cheki anavyopendeza Kati ya Kundi la kuku.

Hongera sana .mi pia nalima mahindi na alizeti.nafuga nguruwe pia for the past 5 months hapo mikese.nahitaji mbegu ya kuku pia.tunaweza kushare experience through 😛jmwaikenda@gmail.com
 
Back
Top Bottom