MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
😀😀😀 usimchukulie poa Chief HustlerAnachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.
Mafisadi na Mafia walimuondoa Mtu.Kwa majirani zake kulitokea nini?
IQ yangu iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu inakutesa sana Wewe mwenye IQ yenye baraka za Shetani.Dogo anajifanya yeye ni mchambuzi nguli wa siasa za Kenya, kumbe bure tu.
Purely talented.... 😁IQ yangu iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu inakutesa sana Wewe mwenye IQ yenye baraka za Shetani.
Pumbavu.
Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.
Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.
Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
Wewe unazimudu siasa za ndani ya simba tu. Hizo za Kenya waachie wenyewe akina Miguna Miguna.IQ yangu iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu inakutesa sana Wewe mwenye IQ yenye baraka za Shetani.
Pumbavu.
Hata Kikwete alimpachika mtu yule lkn alimgeuka aliposhika hatamuRuto na Kenyatta ni marafiki, wamewahadaa wa Kenya kutimiza azma yao ya kuachiana uongozi, very smart move
Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.
Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.
Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
Alimgeukaje?Hata Kikwete alimpachika mtu yule lkn alimgeuka aliposhika hatamu
Ruto na kenyata wamewachezea pata poteaSystem ilikuwa wapi alipokuwa akichaguliwa kuwa Rais? Tatizo ni wabongo kufikiri tuko kama nyie. Kuna kinyozi wangu wa kutoka bongo alishinda akiniambia jinsi Raila lazima awe Rais eti "Usicheze na serikali."
Yeye amekuwa Makamu wa Rais miaka kumi. Hakuna asichokijua kuhusu hiyo "System." Aliyoyafanya jana ni mambo ambayo tayari alikuwa ameshaahidi wananchi tangia miaka mbili iliyopita
System ilikuwa wapi alipokuwa akichaguliwa kuwa Rais? Tatizo ni wabongo kufikiri tuko kama nyie. Kuna kinyozi wangu wa kutoka bongo alishinda akiniambia jinsi Raila lazima awe Rais eti "Usicheze na serikali."
Yeye amekuwa Makamu wa Rais miaka kumi. Hakuna asichokijua kuhusu hiyo "System." Aliyoyafanya jana ni mambo ambayo tayari alikuwa ameshaahidi wananchi tangia miaka mbili iliyopita
Very blessed and talented fella!, Hapa kuna kitu hujakimanya.Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.
Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.
Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.