Baada ya Kuapa naanza kumuona Rais Ruto kama ni Mtu mwenye Papara, Kukomoa, Unafiki na Visasi Moyoni

Baada ya Kuapa naanza kumuona Rais Ruto kama ni Mtu mwenye Papara, Kukomoa, Unafiki na Visasi Moyoni

Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.

Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.

Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
Dark days...

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Yule makamu wake mwenye Mdomo unaofanana na wa MZEE MOI ndiye alitoa hotuba ya hovyo na ya jazba kuwahi kutokea duniani
 
Unamaanisha na huku aliyemtangulia alikuwa mafia kuliko marihemu?
 
Huu ni mwanzo wa utungu tu wataelewa tu, Ruto is another dictator Arap Moi.
 
Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.

Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.

Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
Hawezi hao ni maswahiba waliomchezea kitendawili mchezo mtakatifu.
Mchezo kama huu alicheza Tsekedi na Kabila dhidi ya Vita Kamele.
Kabila alimsapoti mpinzani wa Tsesekedi Ili Tsekedi aingie madaraka. Ni michezo ya kuwahadaa wananchi.
UHURU angekuwa upande wa Ruto ni lazima wananchi wangempigia Odinga kumkomoa Kenyatta na Ruto asingetoboa
 
Watawala wa kiafrica wote huwa wanaanza kama malaika
 
Very blessed and talented fella!, Hapa kuna kitu hujakimanya.

Uhuru na Ruto hawakuwahi kugombana, ilikuwa ni gemu plan ya kumuweka Ruto madarakani. Kwa hiyo the self proclaimed Hustler, hana bifu na mtu wala hana wa kumfanyia kisasi.
Hakuna kitu cha namna hiyo
Kwa sasa Uhuru na rutto ni chui na paka
Tangu uhuru alivyoshtuka kuwa jamaa alitaka kumbambika kesi kule The Hague alianza kukaa naye mbali

Kitendo cha ruto kusema hadharani kuwa kàtika uongozi hata entertain kitu kiitwacho hand shake ni prima facie evidence kuthibitisha kuwa yupo tayari kupambana na upinzani wa Raila na Uhuru katika uongozi wake

Hotuba ya makamu wake Rigathi Gashagwa wakati wa kuapishwa wa kuùshambulia vikali na hadharani uongozi wa uhuru na kusema sasa uhuru umepatikana , watu hawatafuatwa fuatwa na state security agencies kukamatwa hovyo na kudukiliwa ni ushahidi wazi kuwa Uhuru hakuwa pamoja nao kamwe.

Muda utaongea wote na makamu wake hawana koromeo watakuja kubwatuka mengi mbele ya safari na hidden secrets finally will be revealed
 
Dogo anajifanya yeye ni mchambuzi nguli wa siasa za Kenya, kumbe bure tu.
Hata nami alinipa mashaka, mara tu alipotangazwa kuwa ameshinda. Alisema kuwa, serikali yake haitakuwa ya KUSHIKANA MIKONO NA WAPINZANI. Akadai hakuna haja ya kushirikiana nao, kama serikali iliyopita.
 
Hakuna kitu cha namna hiyo
Kwa sasa Uhuru na rutto ni chui na paka
Tangu uhuru alivyoshtuka kuwa jamaa alitaka kumbambika kesi kule The Hague alianza kukaa naye mbali

Kitendo cha ruto kusema hadharani kuwa kàtika uongozi hata entertain kitu kiitwacho hand shake ni prima facie evidence kuthibitisha kuwa yupo tayari kupambana na upinzani wa Raila na Uhuru katika uongozi wake

Hotuba ya makamu wake Rigathi Gashagwa wakati wa kuapishwa wa kuùshambulia vikali na hadharani uongozi wa uhuru na kusema sasa uhuru umepatikana , watu hawatafuatwa fuatwa na state security agencies kukamatwa hovyo na kudukiliwa ni ushahidi wazi kuwa Uhuru hakuwa pamoja nao kamwe.

Muda utaongea wote na makamu wake hawana koromeo watakuja kubwatuka mengi mbele ya safari na hidden secrets finally will be revealed
Whatever!
 
Back
Top Bottom