Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

Wewe ni baba kijacho kwa mtoto ambaye hatakuwa wako maishani. Huenda atapewa mtoto mwanaume mwenye ukwasi. Wanawake wako kimasrahi sasa hivi
Km kuna mwingine anaetafuta mbegu za kumtia mimba aje PM sitomchaji hata 100 kikubwa asiwe mgonjwa wagonjwa sipokei nna mapacha wa kike na kiume Kilimanjaro nilitia mimba nikapita hivi Mama anajiweza kuna boya kasingiziwa ni wake kumbe hakuna, huyo ni mmoja ila list ndefu napokea oda kigezo kikubwa usiwe mgonjwa wagonjwa sipokei sitaki kufa kizembe na tunapima kwanza kila ugonjwa mpaka ukurutu ndio tunaingia mzigoni
 
Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Ameshaondoka na lowasa kakuachia migambo wa jiji bro.
 
Ushapoteza mtoto kwa laki 1, Kuna Dada nilisoma naye High school miaka hiyo akaenda Sweden kusoma, akakaa huko akazaa, akaachika, akaja Tanzania kutembea, akaniomba uja uzito hata kwa pesa, ila kamwe nisiulizie mtoto, labda huko baadae yeye aone haja ya mtoto kunifaham, nikagoma kabisa!
Sperms ni mtoto?
Wanaopiga punyeto mabafuni wanapoteza kijiji au Wilaya?
 
Km kuna mwingine anaetafuta mbegu za kumtia mimba aje PM sitomchaji hata 100 kikubwa asiwe mgonjwa wagonjwa sipokei nna mapacha wa kike na kiume Kilimanjaro nilitia mimba nikapita hivi Mama anajiweza kuna boya kasingiziwa ni wake kumbe hakuna, huyo ni mmoja ila list ndefu napokea oda kigezo kikubwa usiwe mgonjwa wagonjwa sipokei sitaki kufa kizembe na tunapima kwanza kila ugonjwa mpaka ukurutu ndio tunaingia mzigoni
Shida yako ni kuzini, sperm donner halali na mwanamke husika.
Wewe magonjwa sijui ukurutu unakuhusu nini?
 
Kama bado hujaitumia wape washikaji zako watakushukuru, ila kumbuka kuacha umalaya, halafu story za kuchimba migodi kuzileta jamii forum imekaaje hii

Jamii forum kwasasa limekuwa jamvi la kuongelea kuhusu ngono
Km kuna dada zenu bado wanasaka mimba mbegu zipo za kutosha waambie wawahi PM
 
Shida yako ni kuzini, sperm donner halali na mwanamke husika.
Wewe magonjwa sijui ukurutu unakuhusu nini?
Lazima asiwe mgonjwa sitaki kuambukizwa magonjwa ya ajabu km una dada yako ameshindwa kushika mimba mwambie aje PM bila kuchelewa anapata mimba fasta bila longolongo
 
Ana shida na mimba labda alitegesha kaishipata, tuliza tu kwanza endelea na mambo Yako badae utajua ila Kwa Sasa usijisumbue.
Tena ajiandae na majukumu na matunzo ya mtoto!
 
Lazima asiwe mgonjwa sitaki kuambukizwa magonjwa ya ajabu km una dada yako ameshindwa kushika mimba mwambie aje PM bila kuchelewa anapata mimba fasta bila longolongo
Nadhani hukunielewa ama hauwezi kuelewa!
Rudia kusoma nilichoeleza kwenye comment.
Sperm donner hakutani kimwili na mwanamke receptor.
 
Atakuwa mke wa mtu anaangaika kupata ujauzito kwa mumewe lakini imeshindikana, sasa umemsaidia baada ya muda atanwambia mumewe umefanikiwa kunipa ujauzito
 
Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Miezi mitatu bado hadi 28 April ndo upime HIV, anza maandalizi ya dozi kabisa.
 
Ana shida na mimba labda alitegesha kaishipata, tuliza tu kwanza endelea na mambo Yako badae utajua ila Kwa Sasa usijisumbue.
Sema isije kuwa ni jini au alitaka mtoto wa kafara au alitaka mwanaume wa kufanya nae then amtow kafara hahaha jamaa ana msala sana, akimbilie kwa Mwamposa haraka
 
Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Umekuwa sperm donor, alitaka mimba tu yaani awe na mtoto wake mwenyewe ambaye hataingiliwa na mtu.
 
Wala usiwe na wasiwasi Kuna wasichana wengi kwa sana wanatembea na wastaafu au wanaokaribia kustaafu, wanawabambikia mimba kwa kwenda mbele kwa kuwa vizee vingi venye mkwasi vina sura ngumu na wasichana wanataka kuwa na watoto wazuri!
Ila kakuweza kukuacha na laki tu!
 
Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Kupima ni kujiridhisha tu,japo sio lazima,ila huyo dada ni lazima mlikuwa mnajuana ama ulikuwa unatembea na rafiki yake,ambae alikuwa akimpa sifa zako juu ya mambo fulani akaona na yeye ajionee,ama kuna kisasi alikuwa anamlipa demu wako mmoja ambaevwalishea mtalimbo
 
Hali vipi wana JF!

Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :

👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,

👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇


👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika

👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?

Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh

Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔

View attachment 3216781
Nione nikusaidie jambo
 
Back
Top Bottom