MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Chuma ulete jeHuu utafiti nimeufanya kwa muda mrefu au zaidi ya miaka mitatu na jibu nililopata ni kuwa hamna njia yoyote ya kupata hela bila kufanya kazi, yaani uamke asubuhi hela zianze kuingiia zenyewe bila kufanya kazi. Lakini pia nimegundua kuna njia nyepesi nyepesi za kupata hela na nyepesi kuliko zote ni utapeli. Wajinga wakutapeliwa hawawezi kuisha kila siku wanakuja wapya.
Hata chuma ulete inabidi uamke asubuhi uingie frontChuma ulete je
hata wao mara kibao wanafilisika mkuuVijana wangu wanaobet sijui kama watakuelewa
hamna kabisaHivi kuna mti alietajirika bila kukwepa kodi au kuvunja sheria yoyote nchi hii, yani bila kucheza faulo yoyote hata kama ni ndogo kweli kweli??? Maana nchi ina sheria za kimaku sana.
Acha chuma ulete wa kitapeli, wapo wabobezi wanashinda vibarazaniHata chuma ulete inabidi uamke asubuhi uingie front
ahhha hhahahAcha chuma ulete wa kitapeli, wapo wabobezi wanashinda vibarazani
Kawatafute Bgyahhha hhahah
Vijana wangu wanaobet sijui kama watakuelewa
Ha ha aaa nilitaka kuandika hivihiviVijana wangu wanaobet sijui kama watakuelewa
ahahh hahaMkuu uliyoyaandika ni kweli tupu hasa kwa hawa watapeliwa, ni wengi mno na hawaishi.
Kiukweli kuna muda life linakupiga kikumbo hadi unakua Aisha mtamu facebook ππ, walau uwapige buku ten ten makolo wanaotuma na ya kutolea kwa kuona picha za kudowload tu.