Umesema ukweli kabisa!Jiwe alikuwa anatengeneza mtandao wake wa wezi, na ndiyo maana alikuwa anawafukuza aliowakuta na kuweka watu wake.
Tena huyu jiwe ndiyo alikuwa mpuuzi zaidi maana alijenga serikali ya ukabila na ukanda na walifanya ufisadi mkubwa.
Bora alivyokufa
Asad alikuwa na yapi ambayo wengine hawayajui? One thing about jpm hakutaka kuwa exposed, na findings za asad zili expose mambo mengi mengine yalimgusa direct.System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.
Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Na isomeke hivyo Magufuri alipenda rushwa kuliko Marais wote waliomtangulia.Wakala wa Rushwa Tanzania alikuwa JPM.
Na isomeke hivyo kuwa mwanzilishi wa upumbavu Tanzania ni Magufuri.Uchaguzi wa 2019 alisimamia Lisu pumbavu wewe?2020 Lisu alikuwa na Tume ya uchaguzi pumbavu wewe?COVID 19 Bungeni waliingizwa na Lisu pumbavu wewe?Vitu vingine acheni kama huna hoja tulia na kimya ni jibu.
Magufuri hakupenda ukweli alipenda uongo na kusifiwa sifiwa.Asad alikuwa na yapi ambayo wengine hawayajui? One thing about jpm hakutaka kuwa exposed, na findings za asad zili expose mambo mengi mengine yalimgusa direct.
Although sehem nyingine alikwua yuko sawa ila hakuwa mkamilifu, alikuwa na madudu yake.
Asad aliondolewa kimagumashi ila aliibua a lot of things vinavyochafua taswirw ya serikali
Ni vugumu kuvunja mfumo mbovu kwa kuweka utawala unao centre kwa mtu mmoja. Angelijikita kuunda taasisi imara ingeendeleza hayo mema aliyoyakusudia kwa taifa. Waliokuwa wasaidizi wake wa karibu ndiyo wanakwenda kinyume kabisa na aliyoyahubiri. Hapa duniani tu wapitaji, ni vizuri kujenga taasisi imara kuliko kiongozi mmoja imara ambaye yakimpata mambo yake mazuri yanakwenda naye.System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.
Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Na isomeke hivyo kuwa kila mtu alizaliwa huru,hakuna mtu special zaidi ya wengine.(Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 inasema hivyo katika ibara ya 12 na 13).Na pia inatoa mwongozo wa uongozi nchini ibara ya 8.Magufuri ni nani katika Tanzania hii?
kwaiyo kujenga uwwnja wa ndege ndo wizi yaan mijitu ya hivi kuja kufunguka ni miaka 1000Separation of powers checks and balance. Huyo mnayemuita shujaa alivikisa hata yeye alikuwa mwizi tuuu. Kwanini alijenga uwanja wa ndege kwao bila kupitia bunge?
Kwanini alimtoa Asad kuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali? Tena baada ya kuhuji juu ya upotevu wa pesa?
Kwann alivibinya vyombo vya habari?
Tuache mihemko
Unaweza kusema hivyo ili kujifurahisha. Lakini ukweli hata wewe mwenyewe moyoni mwako unaujua.Na isomeke hivyo Magufuri alipenda rushwa kuliko Marais wote waliomtangulia.
Ni ujinga tu unawasumbua hao, utasema uwanja huo ni mali yake binafsi na familia yake kumbe ni mali ya umma.kwaiyo kujenga uwwnja wa ndege ndo wizi yaan mijitu ya hivi kuja kufunguka ni miaka 1000
Sio kweli kabisa, JPM hakuwa anafanya mambo yale peke yake. Kulikuwa na mpango maalum wa kuikomboa nchi, awali mpango huo uliwahusisha walidhaniwa kuwa wazalendo ndani ya vyama vya upinzani, lakini baadae wakagundulika kuwa ni vibaraka wa wanamtandao wa ufisadi nchini, na wengine ni wajinga kiasi cha kutumiwa na mafisadi na wanyonyaji bila wao kujua...Magufuli alikuwa anajiandaa kubakia madarakani kwa muda mrefu sana.
..alitaka kuifanya Ccm kuwa mali yake, na kuuwa vyama vyote vya upinzani.
..baada ya hapo yeye na genge lake wangekuwa na HATI MILIKI ya kutawala Tanzania vile wanavyotaka.
Sio kweli kabisa, JPM hakuwa anafanya mambo yale peke yake. Kulikuwa na mpango maalum wa kuikomboa nchi, awali mpango huo uliwahusisha walidhaniwa kuwa wazalendo ndani ya vyama vya upinzani, lakini baadae wakagundulika kuwa ni vibaraka wa wanamtandao wa ufisadi nchini, na wengine ni wajinga kiasi cha kutumiwa na mafisadi na wanyonyaji bila wao kujua.
Hivyo ili kuleta mageuzi ya kweli ilikuwa ni lazima kuleta CCM mpya na vyama vipya vya upinzani vyenye wazalendo badala ya upuuzi huu uliopo.
Wewe unazionaje sarakasi za Mbowe na Zitto? Kuna vyama pale zaidi ya wapiga dili wa mjini wanao take advantage ya matumaini ya watu??
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.
Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.
Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!
Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.
Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.
Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.
Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.
Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Aliiba nini?weka na ushahidi kama huna usiongee tena mbele ya wanaumeYeye mwenyewe alikuwa mwizi tu
Weka ushahidi kama huna usiongee tena mbele ya wanaume kwa sababu hatupendi umbeyaAcha uongo ,JIWE na yeye alikuwa FISADI kama mafisadi wengine.
Weka ushahidi kama huna usiongee tena mbele ya wanaume kwa sababu hatupendi umbeya
Kauli modeli hii maana yake hii si mada ya kujadiliwa hapa JF - where we dare to talk openly.Hilo haliitaji kusemwa, wanaojua wanajua na wasiojua hawahitaji kujua.
Kasema kujenga uwanja bila idhini ya Bunge. Sema kama bado hauoni tatizo hapo.Ni ujinga tu unawasumbua hao, utasema uwanja huo ni mali yake binafsi na familia yake kumbe ni mali ya umma.