Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa

Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa

Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Wakala wa Rushwa Tanzania alikuwa JPM.
 
Aliua syndicate moja akatengeneza syndicate nyingine. Kila zama inakuwa na syndicate yake inayonufaika na utawala uliopo.
Kwenye kuvunja mfumo uliopo kuna mbinu zake za kimedani. JPM alikuwa kwenye transition period ambayo ni lazima uwe na watu wenye uwezo wa kufanya usafi kwa roho ngumu.
 
Yaani rais na mwenyekiti wa chama tawala azuiwe kukijenga chama chake upya na chama kingine tena cha upinzani?
Halafu, kwani mwenyekiti wa sasa anazuiwa kuendeleza dhamira ya JPM? Au naye ametokea upinzani?
Soma tena, haijaelewa.
 
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Uchaguzi wa 2019 alisimamia Lisu pumbavu wewe?2020 Lisu alikuwa na Tume ya uchaguzi pumbavu wewe?COVID 19 Bungeni waliingizwa na Lisu pumbavu wewe?Vitu vingine acheni kama huna hoja tulia na kimya ni jibu.
 
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Mzalendo Uchwara😂😂
 
Kwenye kuvunja mfumo uliopo kuna mbinu zake za kimedani. JPM alikuwa kwenye transition period ambayo ni lazima uwe na watu wenye uwezo wa kufanya usafi kwa roho ngumu.
Ambao watu hao nao wamenufaika na syndicate yake kwa kuchukua mali za watu. Sasa hapo si sawa na kuua syndicate hii na kuunda nyingine. Kuna watu ambao walikuwa karibu naye ndani ya hiyo miaka 5 wana utajiri ambao hawawezi kukupa maelezo wameutoa wapi.
 
Uchaguzi wa 2019 alisimamia Lisu pumbavu wewe?2020 Lisu alikuwa na Tume ya uchaguzi pumbavu wewe?COVID 19 Bungeni waliingizwa na Lisu pumbavu wewe?Vitu vingine acheni kama huna hoja tulia na kimya ni jibu.
Punguza hasiri, Lissu anajua alichoambiwa na watu wa JPM, kazi aliyotaka kupewa.

Kwa hadaa za wanamtandao akaamua kuchagua alichochagua.
 
unajua ilikuwaje mpka JPM akawa raisi wa TZ? unaweza kukata tawi ulilokalia? alivyotaka kulikata ilikuwaje? yupo wapi? muangalie na yule mpuuzi wa kule kaskazini mnwisho wake utakuwajhe>
Kwa hiyo wewe unafurahia watu vihiyo kama wale walioko Korea kutuongoza?
 
Watanzania bwana sijui tuna mdudu gani kichwani. Magufuli aijenge CCM mpya halafu halafu wapinzani wasimwelewe?. Yani mtu anajenga chama chake halafu unataka wapinzani wafanyeje?. Ningekuona wa maana kama ungesema Wana CCM hawakumwlewa.

Mnapenda Sana lawama Kwa upinzani, mmeachiwa kila kitu Halmashauri, bunge na Vijiji / mitaaa ila mmeshindwa mmebakia upinzani hawakumwelewa Magufuli.

Magufuli ndio aliona wapinzani ndio maadui zake, siku ya kwanza tu ofisini akapiga marufuku mikutano na baadae kuharibu uchaguzi wa 2020 ambao hata baada ya kurudi kwenye Urais kwa dhulma hakudumu hata miezi minne akafa.
Kwa takwimu zao CCM ni wengi kulilo wa vyama vyingine. Je hao wengi walimwelewa? Ilishindikana nn wengi wasiwameze wachache ili tuendelee vizuri. Hao wanaosema; Tunafungua nchi; je ilifungwa na nani?
 
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Mkuu upinzani tena??? Si mwenyewe aliapa kuumaliza?? Ndugu yangu hakika ulishiba uongo na proganda ya mwendazake!
 
Separation of powers checks and balance. Huyo mnayemuita shujaa alivikisa hata yeye alikuwa mwizi tuuu. Kwanini alijenga uwanja wa ndege kwao bila kupitia bunge?

Kwanini alimtoa Asad kuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali? Tena baada ya kuhuji juu ya upotevu wa pesa?

Kwann alivibinya vyombo vya habari?

Tuache mihemko
Umesema ukweli kabisa!
 
Separation of powers checks and balance. Huyo mnayemuita shujaa alivikisa hata yeye alikuwa mwizi tuuu. Kwanini alijenga uwanja wa ndege kwao bila kupitia bunge?

Kwanini alimtoa Asad kuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali? Tena baada ya kuhuji juu ya upotevu wa pesa?

Kwann alivibinya vyombo vya habari?

Tuache mihemko
✍️📝👍👌👊👏🤝🙏🛡️
 
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Mkuu wajinga kina nani??? Wananchi, Sisiemu au upinzani???
 
Back
Top Bottom