Baada ya kufanyiwa CT-Scan ya tumbo, hali imebadilika na kuwa mbaya

Baada ya kufanyiwa CT-Scan ya tumbo, hali imebadilika na kuwa mbaya

Acha tu ndugu yangu,,,,mungu atufanyie tu wepesi nas tuish kwa furaha
Umepatwa na nini? Pole sana.
Mpk umejiita ID ya member mwenzetu aliefariki Falk...na ww ukajiita part 11 basi unapitia wkt mgumu sana...
Mungu awasaidie maana yy ndo anajua mnayopitia..
 
Hali si nzuri!Siku moja nilimkuta Daktari mmoja hapo Rufaa Mbeya akadai eti Nina kansa ya tumbo!Akaniandikia dawa nyingi kweli na akaniamuru nirejee baada ya mwezi!Niliporudi sikumkuta niliyemkuta akadai majibu niliyopewa kuwa nina kansa si sahihi!!Akaniandikia kipimo cha OGD!Nikaenda kukipimia Muhimbili kwani rufaa mbeya hakipo!Nilipopimwa Muhimbili wakadai tumboni Nina vidonda ila siyo vidonda vya tumbo daktari kaniandikia dawa za kutumia kwa miezi Tisa!Nimejaribu kutumia hizo dawa ila hakuna nafuu yoyote!
Pole mnooo...ni miaka 7 bado unateseka.
Mungu akupe nafuu kama binadamu wanashindwa kusaidia kwa akili zao..
 
Pole mnooo...ni miaka 7 bado unateseka.
Mungu akupe nafuu kama binadamu wanashindwa kusaidia kwa akili zao..
Nashukuru sana!Kiufupi katika dunia hii bora uwe na matatizo mengine siyo ya afya!Ndugu zangu asiwadanganye yeyote kuwa mzima wa afya ndiyo kila kitu!!Nimetumia dawa nyingi mno zingine nilikuwa nikizinunua kwa dola za kimarekani!Nikiri hadi hapa nimesalimu amri!Wapo walionishauri kuwa nitumie na tiba asilia nako nimefika!Kwa hao watu wa tiba mbadala nao wamenitibu lakini wapi!
 
Nashukuru sana!Kiufupi katika dunia hii bora uwe na matatizo mengine siyo ya afya!Ndugu zangu asiwadanganye yeyote kuwa mzima wa afya ndiyo kila kitu!!Nimetumia dawa nyingi mno zingine nilikuwa nikizinunua kwa dola za kimarekani!Nikiri hadi hapa nimesalimu amri!Wapo walionishauri kuwa nitumie na tiba asilia nako nimefika!Kwa hao watu wa tiba mbadala nao wamenitibu lakini wapi!
Unaweza kunitajia ratiba yako ya siku ikoje ya chakula unakula nini na mara ngapi ?

Je wewe ni mtu wa Dini gani ?

Uzito wako ni kilo ngapi ?

Je unatumia mirungi ?
 
Nashukuru sana!Kiufupi katika dunia hii bora uwe na matatizo mengine siyo ya afya!Ndugu zangu asiwadanganye yeyote kuwa mzima wa afya ndiyo kila kitu!!Nimetumia dawa nyingi mno zingine nilikuwa nikizinunua kwa dola za kimarekani!Nikiri hadi hapa nimesalimu amri!Wapo walionishauri kuwa nitumie na tiba asilia nako nimefika!Kwa hao watu wa tiba mbadala nao wamenitibu lakini wapi!
Pole sana mkuu...kuna shida mahala...
Hebu mjibu..huyo mdau hapo juu...
 
Unaweza kunitajia ratiba yako ya siku ikoje ya chakula unakula nini na mara ngapi ?

Je wewe ni mtu wa Dini gani ?

Uzito wako ni kilo ngapi ?

Je unatumia mirungi ?
Chakula ninakula Mara 3!Kiamsha kinywa napendelea viazi au chapati au maandazi na supu ya mboga za majani!Kiuzito nina kilo 70.Mirungi situmii!Kiimani Mimi ni Shahidi wa Yehova!Karibu kama utakuwa na maswali mengine niko tayari kukujibu
 
Unaweza kunitajia ratiba yako ya siku ikoje ya chakula unakula nini na mara ngapi ?

Je wewe ni mtu wa Dini gani ?

Uzito wako ni kilo ngapi ?

Je unatumia mirungi ?
Kwa kuongezea Mimi ni mlaji wa dona,maharage,mchele n.k.Sinywi soda wala pombe kwani kwa upande wa vinywaji Mimi huwa natumia maji tu!
 
Dah Mungu akutie nguvu jamani,Hakika peke Yako huwezi😢
7years kwa msoto
 
Rehema ya Mungu iwe juu ya kichwa chako,
Huruma yake ikufuate,
Kwa damu ya kristo ukapokee uponyaji,
Pole sana!!!!
 
Kipimo hiki binafsi niliwahi kuandikiwa ila kuna daktar mmoja akanishauri nisifanye coz kitaniongezea matatizo hasa kuumizwa kuta za tumbo niliogopa sana
Hicho kipimo mm mwenyewe niliandikiwaga Hindu mandal nilipopewa ABC na wasamaria wema niliteleza sikwwnda tena kufanyiwa hicho kipimo.
 
Wanajf ni siku ya tatu leo toka nifanyiwe ct scan ya tumbo. Ajabu tumbo sasa limebadilika. Linawaka moto.Kiuno sasa kinauma sana. Tumbo linaunguruma sana utafikiri vyura vinafanya mazoezi.

Kelele zinasikika hadi nje ya tumbo. Mgongo una maumivu mpaka leo.Kichwa ndiyo usiseme. Sasa nimekuwa mchovu mno kiasi cha kushindwa kufanya hata yale masuala yetu ya usiku ya baba na mama. Jamani nisaidieni tatizo ni kipimo au ni maradhi yanayonisumbua ambayo bado sijayagundua?

Msaada tafadhari
Mkuu unabvidonda vya tumbo wala usijipe matatizo na hayo mavipimo makubwa makubwa tafuta dawa za kienyeji unywe
 
Naomba unieleweshe hicho kipimo kinakuwaje maana nimeshafanyiwa vingi mpaka ninavichanganya!Ila kuna kuna kipimo ninakumbuka dawa ilichanganywa na maji.Ikawekwa kwenye tubes fulani ikaingizwa tumboni mwangu kupitia haja kubwa picha ikachukuliwa.
Hiyo ni ultrasound kawaida unakunywa ule uji unaenda kushika sehem palipo na kidonda wakipiga picha unaonekana
 
Nakumbuka nilifanyiwa hiki kipimo Regency Hospital I felt horrible nililia sana that day. Madokta hata hawakwambii kipimo kiko vipi.

Back to topic Mkuu pole sana kwa matatizo yako. Njoo hata Dar ukutane na maspecialist zaidi
Mm nilitakaga kupoteza fahami nikiwa ndani ya MRI aisee nilikuwa nimevaa mkanda ss nafanyiwa MRI ya kichwa kumuuliza daktari vp nitoe mkanda akasema achana nao ile nimeingizwa machine kuwashwa naona suruali inavutwA mpaka inataka kufika shingoni na hapo niliambiwa nifumbe macho aisee nilifumbua baada ya mambo kuwa mazito.
 
Mm nilitakaga kupoteza fahami nikiwa ndani ya MRI aisee nilikuwa nimevaa mkanda ss nafanyiwa MRI ya kichwa kumuuliza daktari vp nitoe mkanda akasema achana nao ile nimeingizwa machine kuwashwa naona suruali inavutwA mpaka inataka kufika shingoni na hapo niliambiwa nifumbe macho aisee nilifumbua baada ya mambo kuwa mazito.
Kivipi suruali ifike shingoni
 
Chakula ninakula Mara 3!Kiamsha kinywa napendelea viazi au chapati au maandazi na supu ya mboga za majani!Kiuzito nina kilo 70.Mirungi situmii!Kiimani Mimi ni Shahidi wa Yehova!Karibu kama utakuwa na maswali mengine niko tayari kukujibu
Sijafafuatilia uzi wako toka mwanzo lakini nina jamaa yangu alikuwa na historia ya gas tumboni,nadhani pia alikuwa na case ya vidonda vya tumbo nahisi na wewe vinavyokusumbua ni hivi vitu.

Yeye alikuwa na 83kg amezipunguza kwa mazoezi last time kuzungumza nae aliniambia ana 62,ameacha kabisa kula chapati maandazi na vifananavyo na hivyo,yeye anakula supu ya samaki asubuhi mchana yote anagusa gusa matunda chungwa ndizi dafu etc alimradi tumbo lisikae bila chochote usiku anakula either wali kidogo au juice ya matunda analala ndiyo ratiba yake ya kila siku na imemsaidia simsikii akilalamika kama zamani.

Nitaomba ruhusa kwake nikutumie namba yake pm kama ataniruhusu umuulize mawili matatu yanaweza yakakusaidia,pole sana kwa changamoto.
 
Back
Top Bottom