Nawashukuru sana jf kwa mawazo na ushauri wenu.CT SCAN YANGU IMEONYESHA KUTANUKA KWA MISHIPA YANGU YA TUMBO.Dr. KANIAMBIA UGONJWA ULIOSABABISHA HILO BADO HAUJAJULIKANA.NIMEPEWA DAWA ZA KUTUMIA MWEZI MZIMA NDIYO NIRUDI HOSPITAL.
Hello ndugu , pole sana kwa changamoto hiyo !
Mimi kama Tabibu wa dawa asili zenye uwezo wa hali ya juu #1 duniani kutoka Marekani!
Iko hivi :
Hakuna jambo lisilokuwa na sababu , Nature inaeleza kila kitu ,
Katika vipimo vya hospitali haviwezi baini kitu kinachoitwa “Energy imbalance” kwenye Mifumo ,ambapo ndio chanzo cha magonjwa yote yaliyopo duniani
Mfano la huyu ndugu , katika Natural knowledge kupitia watu wa jamhuri ya China [emoji630], mfumo wa Tumbo unajumuisha “Tumbo & Bandama / Stomach & Spleen system, huku mfumo wa Ini & Nyongo ukisaidia Mifumo mingine kufanya Kazi vizuri , maana mfumo wa Ini & Nyongo ndio Hucontrol energy katika mwili wa binadamu hivyo kuwezesha Mifumo mingine kufanya Kazi vizuri !
Sasa mfumo wa Ini & Nyongo unapokuwa na Energy stasis / energy stuck , unaenda kuathiri utendaji Kazi wa Mifumo mingine kama Tumbo , hivyo Tumbo litakosa uwezo wake wa kuchakata chakula na kuwa dhaifu , maumivu mbalimbali ya Tumbo yatatokea kama hivyo ,
Sasa kwa namna hiyo vipimo vya Hospitali haviwezi ona , maana shida hiyo iko connected na Energy imbalance kuzalisha toxin na kusababisha madhara , hiyo hali isipotibiwa inaenda hatua nyingine mbaya , kuweza ku damage Mifumo / internal organs , hapo vipimo vya hospital vitaona lakini mtu atakuwa kwenye hali mbaya sana tayari , na itakuwa ngumu sana kutibu !
Sisi tunachofanya ni kusikiliza mwili unasemaje ( Symptoms) , kile mwili unacholalamikia ndio tatizo lenyewe , kwa hiyo tunaamini kuwa Kipimo sahihi cha magonjwa ni mwili wenyewe / Mind / Spirit
Hakuna kipimo kitakachoweza shindana na Spirit yako / Mind .
TIBA :
Tutahitaji ku detox liver & gallbladder system, kama choo ni kigumu pia
2. Clear hot dampness toxin kwenye Mfumo wa Tumbo
3. Imarisha mfumo wa Tumbo !
Hiyo treatment plan , itaondoa tatizo lako kabisa na mwili utarudi sawa !
Kila plan hapo ina dawa yake asili kuweza kuondosha hiyo shida moja kwa moja !
Dawa zetu tunatuma popote Tanzania na nje ya nchi maana ni International standard!
Tupigie : 0757577995 / 0653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office