- Thread starter
- #41
Mpaka sasa nimeshafanyiwa vipimo 10,hakuna ambacho kimeshaonyesha ninaumwa nini zaidi ya hali kuzidi kuwa mbaya.Kila siku mimi ni tumbo,tumbo,tumbo.Halina maumivu isipokuwa machache hasa baada ya kula na tumbo kujaa kama mpira unaosubir mechi.Vidonda vya tumbo huna?