Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Attachments

  • IMG_20171120_035747.png
    IMG_20171120_035747.png
    10.4 KB · Views: 57
Sijaona mantic ya ninyi kubishana... Mmoja katoa maelezo na mwingine anakazana kupinga akisisitiza 'hujui mimi ni nani'... Kama unaamini una right info, share. Haikupunguzii chochote.
powa powa
 
mi ni mjanga , sigusi wanawake wao, nawagusa kwa kuiba, sigusi hela yao na hawajui hela yangu basi, na sichangii mjadala wa kisiasa au melngo wa ubepari na ujamaa , niko kimya
Britanicca nami nataka kuja huko mkuu, naomba muongozo
 
Back
Top Bottom