Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hakuna jina la Kubarshnov.hahahaha mjuaji ni yule anayefanya kukosoa wakati hajui au mjuaji ni yule anayeleta alichoambiwa, hahaha Tanzania tuna kazi MEMKWA siku hizi hakuna sijui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jina la Kubarshnov.hahahaha mjuaji ni yule anayefanya kukosoa wakati hajui au mjuaji ni yule anayeleta alichoambiwa, hahaha Tanzania tuna kazi MEMKWA siku hizi hakuna sijui?
Acha ubishi wa kitotoHakuna jina la Kubarshnov.
Mbishiii.ongea naye kirusi ila ukimuuliza mambo ya shika hatakujibu ni secret na hatoi habari ovyo ovyoHakuna jina la Kubarshnov.
Asante, ingawa mimi sio mtoto. Narudia tena hakuna jina la Kubarshnov. Usilete vijipicha vya kuokoteza mtandaoni. Umenisikia?Acha ubishi wa kitoto
Hahaha watoto nyie heheAsante, ingawa mimi sio mtoto. Narudia tena hakuna jina la Kubarshnov. Usilete vijipicha vya kuokoteza mtandaoni. Umenisikia?
Huna lolote wewe, uongo tu umekujaa. Ni Luhkovitsky na sio Lhukovitsky ambako hilo jengo la Distantsiya Guest house lilipo.Hahaha watoto nyie hehe
Typing errors bwana mdogoHuna lolote wewe, uongo tu umekujaa. Ni Luhkovitsky na sio Lhukovitsky ambako hilo jengo la Distantsiya Guest house lilipo.
Powa powaMkuu shukrani kwa jitihada kubwa ya kutuhabarisha .
Ha ha ha, ungejua unaongea na nani.Typing errors bwana mdogo
Haha okey mkuu unaweza kuta naongea na JPM ngoja nikae kimyaHa ha ha, ungejua unaongea na nani.
Sijaona mantic ya ninyi kubishana... Mmoja katoa maelezo na mwingine anakazana kupinga akisisitiza 'hujui mimi ni nani'... Kama unaamini una right info, share. Haikupunguzii chochote.Haha okey mkuu unaweza kuta naongea na JPM ngoja nikae kimya
powa powaSijaona mantic ya ninyi kubishana... Mmoja katoa maelezo na mwingine anakazana kupinga akisisitiza 'hujui mimi ni nani'... Kama unaamini una right info, share. Haikupunguzii chochote.
kabisa yanWatu wanamdharau ila jamaa yuko very smart, very confident. M
Watu wanabishana kwa fact, ikiwa unajua kitu weka tukusome sio unakuja na mipasho kama dada poa wa kimboka...[emoji31] [emoji31]Endeleeni kuburudika. Ha ha ha, matango pori ni matamu sana.
Britanicca nami nataka kuja huko mkuu, naomba muongozomi ni mjanga , sigusi wanawake wao, nawagusa kwa kuiba, sigusi hela yao na hawajui hela yangu basi, na sichangii mjadala wa kisiasa au melngo wa ubepari na ujamaa , niko kimya
hahahaHuyo anaye bisha naona atakuwa yule aliyekuwa balozi kipindi hicho, sasa baada ya kutulisha matango poli anaona sasa anaumbuka, anaona ni bora aharibu mjadala.