britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #881
we chadema auuuuu ndo pipoziWhy do God wasted his time creating stupid peoples
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we chadema auuuuu ndo pipoziWhy do God wasted his time creating stupid peoples
Jamaa ni lipumbavu sana Russia linaona jehanam, hapa tunapeana story ya dk shika km una ya kwako share,sio kutukata stimuAcha upuuzi nawewe anzisha uzi wako ueleze unachokijua acha kutuchanganya
hahaaa watanzania wabishi unaweza mwambia mi mzaliwa wa kigoma akabisha akasema mbona una pua kama watu wa tanga, hapana we ni wa tanga haaJamaa ni lipumbavu sana Russia linaona jehanam, hapa tunapeana story ya dk shika km una ya kwako share,sio kutukata stimu
Kwani mleta mada.Lengo sikuharibu uzi, ila ni kuonyesha tatizo...
Soon nitakuwekea reference kuanzia picha alizotumia mfano hiyo picha za ya huyo anayedai ni max nitakuwekea alipoitoa.
Amedai kafika eneo iliko hiyo nyumba Lukhovitsy japo yeye hata spelling kakosea ila hata kupiga picha hakupiga kaenda kuchukua picha toka mtandaoni ndiyo kawawekea.
Na hiyo ni guest house inaitwa Distantsiya iko hapo Lukhovitsy.
Na hakuna mtu anaitwa Falz kurbashnov hata utafute google hakuna mtu yoyote aliyewahi tuhumiwa ugaidi kwa hilo jina bali kuna Fazliddin Kurbanov ndiye mwenye scandal ambayo walau inataka kufanana na hii kitu.
Sasa jiulize kwanini hizi story za hawa watu haya majima hayana reference yoyote ina maana stories zao ndizo za siri sana kiasi kwamba huwezi pata redfrence kokote?
Hakuna tukio lolote la kigaidi au gaidi yoyote utakayemskia ukamtafuta mtandaoni usipate habari zake kasoro majina ya huyu mleta mada.
Any way enjoy the story.
Kumbuka siyo kwamba naharibu story ila hii ni forum na forum ni sehemu ambayo people debate na ku debate ni kutofautiana mawazo.
Huyo Falz kurbashnov (mtu huyu hayupo) kwa maelezo ya mleta mada kashitakiwa na kufungwa au umesoma nusu?Kwani mleta mada.
Amesema huyo jamaa ni gaidi?
Au Mimi ndo sielewi?
Si mlisema kampuni haifanyi kazi sahizi?yes dola moja ni 59.6 russian rubles mpaka now lazima return ifike 20 bils
we jamaa ni muongo kinoma ngoja niandae details nijekukulipua maana unatufunga sana kamba
Umeambiwa huo ukilikuwa mtaji wakuanzisha kampuni .Kwahiyo mnatuambia hiyo 50000 USD huko kwa Putin inakuletea bilioni 20!!.
Nimegoma kuamini
Utakua nao lini?Sina huo muda.
oya we ngese acha hzo......kama uzi haukuhusu si uondeke tuAsante, ingawa mimi sio mtoto. Narudia tena hakuna jina la Kubarshnov. Usilete vijipicha vya kuokoteza mtandaoni. Umenisikia?
We jamaaa acha ubinafsi tupe habariSina huo muda.
Usitujazie page, km imekuuma chomoa ukimbie! Unabisha bisha ili tukuone na we unajua sana au tujue upo Russia kumbe umebanwa katikati ya makwapa ya watu kwenye mwendokasi, mxxxuuu, chefuu...Endeleeni kuburudika. Ha ha ha, matango pori ni matamu sana.
Usitoe kiki, wengine wagonjwa wa akili wameokota simu wakaingia kwa bahati mbaya humu! Km vp mpotezee, wadau tushamstukia...Mbishiii.ongea naye kirusi ila ukimuuliza mambo ya shika hatakujibu ni secret na hatoi habari ovyo ovyo
yes ipo urusi hapa na ninaogopa ku associate nao kwa mwanzo