Huna lolote pimbi tu uonekane unajua sana kupitia migongo ya wengine. Sie hatuhitaji kujua wewe ni nani.Nimeshaacha watu walishwe matango pori. Mimi sipo.
Achana na mgonjwa huyo, naona ugonjwa wake umepanda kukichwa.matango pori yapi kurbashnov na kurbanov ni watu wawili tofauti baada ya kuangalia vema nikaenda kutafta jina nakuta ni wawili tofaut unachanganya
Tusamehe balozi chokalaHa ha ha, ungejua unaongea na nani.
AhahhahahaTusamehe balozi chokala
Mkuu ebu fikiria tu...
Kwanza kabisa huwezi thibitisha kuwa mleta mada yuko Urussi.
Na ndiyo maana nimekwambia hata hizo picha kazitoa internet wakati anakwambia kafika eneo la tukio lakini hata kupiga picha kashindwa.
Pili kwa sasa matukio makubwa, tuachane na dr shika walau basi hata huyo mtu anayedai anaitwa Falz Kurbashnov hana hata reference ya source yoyote juu ya kesi yake ya ugaidi? (Haikushangazi?)
Wakati Dr shika tukio tu la kusema 900 itapendeza now ukimgoogle utapata references za kutosha juu yake ije kuwa mtu ambaye anatuhumiwa kwa ugaidi tena kafungwa Marekani?
Na mwisho hiyo picha aliyoweka siyo ya huyo mtu ni ya mtu mwingine kabisa.
Unfortunately ninatumia browser ila ningekuwa natumia application nitaupload screenshot za kila kitu.
Anybody can say anything ni jukumu lako kuhakiki ukweli juu ya taarifa hizo.
Namkumbuka the Bold nilikuwa nikisoma story zake naenda kutafta wahusika na sikuwahi kukosa references zao najihabarisha zaidi.
Kama unataka wasijadili Dr shika kuna majukwaa mengi humu sana nenda huko mkuu muda huu wanajadili mambo ya Robert comrade Mugabe Jembe muzeeMkuu ebu fikiria tu...
Kwanza kabisa huwezi thibitisha kuwa mleta mada yuko Urussi.
Na ndiyo maana nimekwambia hata hizo picha kazitoa internet wakati anakwambia kafika eneo la tukio lakini hata kupiga picha kashindwa.
Pili kwa sasa matukio makubwa, tuachane na dr shika walau basi hata huyo mtu anayedai anaitwa Falz Kurbashnov hana hata reference ya source yoyote juu ya kesi yake ya ugaidi? (Haikushangazi?)
Wakati Dr shika tukio tu la kusema 900 itapendeza now ukimgoogle utapata references za kutosha juu yake ije kuwa mtu ambaye anatuhumiwa kwa ugaidi tena kafungwa Marekani?
Na mwisho hiyo picha aliyoweka siyo ya huyo mtu ni ya mtu mwingine kabisa.
Unfortunately ninatumia browser ila ningekuwa natumia application nitaupload screenshot za kila kitu.
Anybody can say anything ni jukumu lako kuhakiki ukweli juu ya taarifa hizo.
Namkumbuka the Bold nilikuwa nikisoma story zake naenda kutafta wahusika na sikuwahi kukosa references zao najihabarisha zaidi.
Hivi umesoma ukaelewa nilichoandika kweli?Kama unataka wasijadili Dr shika kuna majukwaa mengi humu sana nenda huko mkuu muda huu wanajadili mambo ya Robert comrade Mugabe Jembe muzee
Acha ufinyu wa mawazo, sasa group la nini.Mkuuu huwez tengeneza group la wasp?
bongo movies wamfate Dr. Shika awake historia ya maisha yakeIt should be a movie
Ninachokiona kwako ni kwamba unaleta ujuaje tu usio na faidaHuna lolote wewe, uongo tu umekujaa. Ni Luhkovitsky na sio Lhukovitsky ambako hilo jengo la Distantsiya Guest house lilipo.
Kama ni hivyo, unafikiri mleta uzi ana faidika na nini kwa kutulisha matango pori??Lengo sikuharibu uzi, ila ni kuonyesha tatizo...
Soon nitakuwekea reference kuanzia picha alizotumia mfano hiyo picha za ya huyo anayedai ni max nitakuwekea alipoitoa.
Amedai kafika eneo iliko hiyo nyumba Lukhovitsy japo yeye hata spelling kakosea ila hata kupiga picha hakupiga kaenda kuchukua picha toka mtandaoni ndiyo kawawekea.
Na hiyo ni guest house inaitwa Distantsiya iko hapo Lukhovitsy.
Na hakuna mtu anaitwa Falz kurbashnov hata utafute google hakuna mtu yoyote aliyewahi tuhumiwa ugaidi kwa hilo jina bali kuna Fazliddin Kurbanov ndiye mwenye scandal ambayo walau inataka kufanana na hii kitu.
Sasa jiulize kwanini hizi story za hawa watu haya majima hayana reference yoyote ina maana stories zao ndizo za siri sana kiasi kwamba huwezi pata redfrence kokote?
Hakuna tukio lolote la kigaidi au gaidi yoyote utakayemskia ukamtafuta mtandaoni usipate habari zake kasoro majina ya huyu mleta mada.
Any way enjoy the story.
Kumbuka siyo kwamba naharibu story ila hii ni forum na forum ni sehemu ambayo people debate na ku debate ni kutofautiana mawazo.
Umeona mkuu ninachokiona jamaa anataka sifa za kike tuWatu wanabishana kwa fact, ikiwa unajua kitu weka tukusome sio unakuja na mipasho kama dada poa wa kimboka...[emoji31] [emoji31]
We jamaa mbinafsi sana..nyinyi ndio mlikuwa mnabania material kipindi tunasoma ila kwasasa mmeishia kuwa walimu huko kyela, mbeyaNimeshaacha watu walishwe matango pori. Mimi sipo.
Hii inaitwa forum hata siyo jambo la kushangaza kupingwa kwa bandiko lolote.Kama ni hivyo, unafikiri mleta uzi ana faidika na nini kwa kutulisha matango pori??
Kama ni story poa tu kajitolea muda wake kuandika na si kwamba kuna ujira anapata ili atajirike.
Ipo sema huyu jamaa ni jeuri hataki kujiungahahahaha mjuaji ni yule anayefanya kukosoa wakati hajui au mjuaji ni yule anayeleta alichoambiwa, hahaha Tanzania tuna kazi MEMKWA siku hizi hakuna sijui?
Kama huna huo muda waache wenzio wenye muda waeleze hata kama yakiwa matango pori.Sina huo muda.
Ha ha ha........jf bana!! Usikute unayemjibu ndio Dr Shika[emoji1]Huna lolote pimbi tu uonekane unajua sana kupitia migongo ya wengine. Sie hatuhitaji kujua wewe ni nani.
Hapa ni khs Dr Shika. Kama unataka kuchangia ili isiwe tango pori sema, vinginevyo piga kimya.