Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

we jamaa ni muongo kinoma ngoja niandae details nijekukulipua maana unatufunga sana kamba
Jamani mbona mnampa tuhuma za uongo tena...yeye ameleta kile anachokijua kuhusu Shika na sie tumemsikiliza Dr. Shika hivyo na wewe leta nondo kuhusu Dr. Shika kisha wadau tusiojua chochote kuhusu sakata hili tutapima na kuona nani yupo sahihi
 
Dr Shika enzi hizo Urusi
 
Asan
 
Dr Shika enzi hizo Urusi
Mmmh kwa hili bado sijashawishika...yaaani hiyo pc imepigwa mwaka gani kukiwa na aina hizi za mavazi na umri wake inamaana amezeeka hivi karibuni.

Unless hii pc iwe ni ya kijana wake but hatuwezi kumeza kila kitu NOUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…