Mr Cu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,289
- 974
Kweli kabisaaaIf all is true then nafikr maisha yake yamekuwa hatarin zaid kuliko mwanzo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaaaIf all is true then nafikr maisha yake yamekuwa hatarin zaid kuliko mwanzo.
Ndo nilitaka kukutonya alikua vingungutiSi ameshajitokeza kuwa hakuwa ametoroka yupo, na serikali iache kuchezea 10m. (ITV)
Haiwezi fahamika tena na Dr. amekwambia hao Polisi walienda kumpekua na walikuta na bank statement ya Kampuni yao sijui ya Dr which had alot of Money... na wakaondoka nayo na baada ya kukukotoa amesema the statement tu kwenye akaunti moja ilikuwa na hela equivalent na 20 Billion na akasema TRA wanted only 3Bill plus sasa kwa nini tunaendelea kujiuliza muonekano wake na ukweli wa kazi yake.
Pia kwenye mahojiano amesema aliweza kuwatoroka watekaji japo aliteswa sana .. Kwa aina ya uteswaji aliofanyiwa mtu pekee ambaye anaweza kutoroka ni Mtu mwenye mafunzo ya hali ya juu ambayo Dr ameyapitia. kwa hiyo na ukiangalia anavyoongea yupe well organized na anaakili zake zote timamu na kwa utani tu aliwatania kuwa Kapuku kwa lengo la kuwakejeli.
Maisha ya Spy siyo Maisha ya akina Bashite .. Spy wa kweli hajikwezi , na moja ya sifa kuu zao hawapendi kupitwa na taarifa yoyote na kama umemsikia na kufuatilia mienendo yake yeye na kijiwe cheenye magazeti ni uji na Mgonjwa. Bado kuna watu wenye vichwa ngumu kwenye hiloo.....
Hiyo ni hazina tosha ambayo Nyerere pekee ndiye anayejua thamani yake ila sisi wachumia tumbo tutaendelea kuwaza na kumuwaza na kumuwazua kwa kuwa hatujui misingi ya Usalama wa Taifa
Nadhani upo sahihi maana hata mimi niliyasikia haya katika maelezo yake mwenyewe Dr Shikakama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots
maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
Vingunguti hahahah kwani yeye ni mbuzi (utani)Ndo nilitaka kukutonya alikua vingunguti
Kwa haraka mwambie moscow na dsm masaa ni sawani mchana unajua urusi uku miji inatofautiana masaa kwa mtu aliyeko novosibiriskiye na aliyeko sochi au volga wanatofautiana masaa mawili,
hapa moscow ni mchana kawaida saa tisa
Sawa CCMWatu mnaomuwaza huyo mbunge mpo wachache sana serikali haina muda wa kushughulika na nyinyi KABISA
CCM ndiyo akili zenuHaya ni mawazo mgando aiseeeee.....
Je niwapi ama nani aliye thibitisha kwamba Dr Shika ni mgonjwa wa akili/ame changamyikiwa?
YES MASAA NI SAWAKwa haraka mwambie moscow na dsm masaa ni sawa
Mkuu ukisikikiza maelezo ya Dr Shika, utagundua kwamba kuna uwezekano mkubwa sana alitoroshwa na MarekaniAisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Kazi sio kidogoHakika kazi bado ipo Sana
KGB kutorokwa na CIA haishangazi MkuuAisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Mkuu mbona umemalza na swali la michosho sana...kwny mnada tna wa ishu km ya juz n lazma kuwe na warning kali..maana waaribifu wa minada hua wapo kwa sabab mbalmbalsiwezi sema ni mbinu za ccm, ila mm niachotaka kusema hapa..huyu shika, ni mtu makini sana na ambaye anatumiwa na watu wasiojulikana kwa mission isiyojulikana hadi sasa.
Kwa website aliyoitaja jana , ukiingia huko huwezi amini ukubwa wa kampuni yake ambayo kwa maelezo yake anasema iko nchi nyingi. Pia, pale chini kwenye hyo website kuna address yao..sina hakika km huko Moscow nako wanatumia P.O.BOX... Anyway.. kwa ufupi kuna maswali mengi kuliko majibu.
Ila hyo mission ilikuwa pia planned na hao YONO.. kwani walianza kutoa warning kuwa atakaye vuruga huo munada atawajibishwa kisheria..walijuaje km siyo kuwa nao walikuwa part of the mission?? Anyway itafahamika tu..km babu wa loliyondo. Time will tell.
SIKUFUNGUKA ZAID LAKINI ALITOROSHWA NA KIKOSI CHA MAREKANI KIMYA KIMYA NA HAKWENDA TZ TENA, ALIENDA DNIPRO UKRAINEMkuu ukisikikiza maelezo ya Dr Shika, utagundua kwamba kuna uwezekano mkubwa sana alitoroshwa na Marekani
Ndo hapoKGB kutorokwa na CIA haishangazi Mkuu
Yupo mbna uraian mkuu..hujamskia leo kaongea na mediaWe unajua muhasibu mtata wa takukuru kajificha wp?
hiyo bank statement siyo ya Benk ya Tanzania na amekwambia Tanzania hana fedha na fedha zake zipo nje. Mbona watu hatufuatilii mambo kwa lengo la kuelewa?hyo statement ni ya benk ya tanzania au ya benki ya nchi gani??? kama ni tanzania hapa kwa nini aisitumie hyo pesa kulipia hzo nyumba?? na kama yy ndiyo director wa kampuni hope kwa siku alizo kaa polisi pesa imeshawekwa kwenye a.c yake..kwa nini asiende..
mission planed hyo mkuu...akina bashite watu wa huko kanda ya ziwa /magu wanajua wanachokifanya.
P.O.BOX 9, MOSCOW , RUSSIA ........haaaa haaaaaa
Na sijawahi ona mtu mwenye akili za kupindukia na very smart akawa materials guys! mfano mzuri tu ni mafundi uashi, kaangalie nyumba wanazoishi na zile walizotujengea, mara nyingi watu smart huamini katika visions na achievements! Na kwa kawaida ya watu wanamna hii ni watu wenye imani ya kupindukia, akiamini kuwa taa ya maono iliyowaka kichwani mwake basi, kinachofuata nikuushirikisha moyo wake na kuanza kufuata process au formular inayomuongoza kufikia malengo yake! Respect for all you people, you have or not!Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha.
Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa mwendo wa trein ni 5hrs,
nimefika mjini moscow na kuanza kuuliza hasa legality ya kampuni hiyo ndani ya moscow na Urusi kwa ujumla, nimefanikiwa kupata maelekezo ya kukutana na Mtanzania mmoja (Elibariki Dishon) anaisha mtaa wa Tverskaya Street, ambaye kanikaribisha na kuanza kufanya uchunguzi wangu, nikaamua kwanza nipate hifadhi ndani ya hotel ya Sputnik.
Baada ya kwenda kwa watanzania wanaoishi huku nimegundua huyu mzee alipata matatizo kwa kuhisiwa ni spy wa Marekani, ambaye kapandikizwa kutokea Afrika, na amekuwa akitafutwa na kufuatiliwa nyendo zake zote kuanzia kwenye kampuni yake na nyumbani alipokuwa anaishi.
Mke wake bi Luisa Kvonkov ndo alibanwa na kueleza kwao ni Tanzania Magu, Lakini inasemekana kwamba kuna kampuni kubwa la kimarekani aidha shirika la upelelezi ambalo liko nyuma ya kampuni ya Lancefort, ndio chanzo cha kutiwa msuko suko uko alikokuwa anamiliki kampuni hiyo.
Shirika la Lancerfort limekuwa likimiliki asset kubwa nchini urusi na kwingineko duniani wakati chanzo cha hela yao hakijulikani, hivyo moja kwa moja kuhisiwa ni miongoni mwa mashirika ma spy ambao wafadhili wake ni wamarekani ambao wana uhasama wa mda mrefu na Urusi.
Wametelekeza mali nyingi kukiwemo na private jets na magari ya thamani.
Kupitia wapelelezi wa ndani ya urusi ambao walilichunguza shirika ambalo inasemekana rais wake ni Dr Luis Shika kwa kipindi kile, waligundua mawasiliano ya karibu na baadhi ya mashirika yafuatayo AMNESTY INTERNATIONAL, CIA, FBI , HGRE, OKLE, ambayo mara nyingi huwa ni waanzilishi wa upelelezi katiKa nchi nyingi,
Baada ya kugundua hayo walitekwa na kuwekwa mateka na wawili kuuwawa, mmoja wapo akiwa mkenya Edward Koinange na mwingine wa Siera Leone Yunusu AKhbu, Na wawili kukimbilia Tanzania lakini Rais wao akapelekwa hospitali baada ya kuwatoroka akiwa ameumizwa vibaya, hakutibiwa Urusi alitoroshwa kinyemela mpaka mjini Dnipro Ukraine, na kutoroshewa Tanzania,
Baada ya kufika Tanzania hakuenda moja kwa moja kwao akajificha mjini Dar es salaam, (Haya ni maelezo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu)
Baadae kutorokea Uhispania Mjini Malaga , amekaa malaga miez 8 Na kurudi Tanzania,
Mwaka 2012 wakaidhinisha malipo kutoka marekani ambayo bado yapo kwenye mlolongo wa
kukamilisha mchakato,
WITO KWA BALOZI ZETU TUNAOMBA MUWASAIDIE HAWA WATANZANIA WANAOKUWA NA MATATIZO MUWASAIDIE
Tukiachana na Shika wapo watanzania wengi wanaokosa msaada wa karibu sana kutoka Kwa balozi zetu hizi ,
Ukisoma ukatafakadhi haitadhuru
mods mkiuacha uzi huu itapendeza
Tufanye nimemaliza
Britanicca