Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli


hyo statement ni ya benk ya tanzania au ya benki ya nchi gani??? kama ni tanzania hapa kwa nini aisitumie hyo pesa kulipia hzo nyumba?? na kama yy ndiyo director wa kampuni hope kwa siku alizo kaa polisi pesa imeshawekwa kwenye a.c yake..kwa nini asiende..
mission planed hyo mkuu...akina bashite watu wa huko kanda ya ziwa /magu wanajua wanachokifanya.

P.O.BOX 9, MOSCOW , RUSSIA ........haaaa haaaaaa
 
ni mchana unajua urusi uku miji inatofautiana masaa kwa mtu aliyeko novosibiriskiye na aliyeko sochi au volga wanatofautiana masaa mawili,

hapa moscow ni mchana kawaida saa tisa
Kwa haraka mwambie moscow na dsm masaa ni sawa
 
Mkuu mbona umemalza na swali la michosho sana...kwny mnada tna wa ishu km ya juz n lazma kuwe na warning kali..maana waaribifu wa minada hua wapo kwa sabab mbalmbal
 
hiyo bank statement siyo ya Benk ya Tanzania na amekwambia Tanzania hana fedha na fedha zake zipo nje. Mbona watu hatufuatilii mambo kwa lengo la kuelewa?
 
Na sijawahi ona mtu mwenye akili za kupindukia na very smart akawa materials guys! mfano mzuri tu ni mafundi uashi, kaangalie nyumba wanazoishi na zile walizotujengea, mara nyingi watu smart huamini katika visions na achievements! Na kwa kawaida ya watu wanamna hii ni watu wenye imani ya kupindukia, akiamini kuwa taa ya maono iliyowaka kichwani mwake basi, kinachofuata nikuushirikisha moyo wake na kuanza kufuata process au formular inayomuongoza kufikia malengo yake! Respect for all you people, you have or not!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…