Umesoma cheo alichokuwa nacho? Hii inamuwezesha kutuma na kupokea Intel directhUYU MZEE hizi story ana hallucinate atakuwa aliwapa hizo hadithi hao wenzake huko Russia,CIA FBI hawawezi kumtumia mtu kama yule wakawasiliana naye direct lazima awe na HANDLER wa ku exchange infos,sio wajinga eti waache traces za kijinga hivyo.
Kuna Dr. Mmoja nilikutana nae miaka Fulani ambaye alisomaga Urusi, Mtanzania aliwai nisimulia kuwa akiwa Urusi alikamatwaga na kuhukumia kunywongwa kwa tuhuma za ujasusi akaja okolewa na Amnesty International!! Alirudi yupo .Naanza amini kuwa kweli hii dunia INA mamboHili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha
Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%
Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo
Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika
Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake
Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Yaaap, kuna something behind kwa kuunganisha habari zake na tactical katika kuongea japo haendi strait either kwa kuogopa RUSSIA kumfuatilia lakini sasa huyu mpka BBC swahili ametangazwa tujiandae kusikia mengi zaidi kama ndio hivyo,kuhusu ubalozi kumsusa ni kwamba kwa ukipelekwa na serikali kusoma nje lazima urudi kulitumikia taifa ukiamua kubaki na shughuli zako unahesabiwa wewe mtoro kwa hiyo hapo lazima ubalozi hautambui uwepo wako huko na ukijulikana unakamatwa kuchukuliwa hatua, kwa hiyo kusaidiwa na ubalozi wa marekani kuna alarm watanzania hili jambo ni very serious sio la kuchekesha tena mi nime note na tena hatari kwa yeye maana ameshakuwa famous kila media,kama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots
maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
Jiwe la gizani wewe CCM.Unamaswali ya kipumbavu Sana Kwa hiyo CCM inahusika nn hapa na Hill swali hapa unamuuliza nani
Dah..Keep Limber aende wapi? 😀😀😀😀😀😀mara paap!!,magu kamteua docta shika kuwa mkuu wa taasisi fulani serikalini.
Migazeti ya kibongo bure kabisa...inapenda kutafuniwaHii habari kesho itapamba Magazeti ya Udaku sipati picha!
Utasikia wakiandika....
"Kwa mujibu wa uchunguzi wa kina wa gazeti hili, Dr. Shaka......."
Kumbe wameikuta habari JF
du kuna mambo hawa jamaa wanafanya kama jamaa zetu wa kijani aisee, naomba tusifike huko, mie kaka zangu wamesoma huko, wanaongea kirusi ile mbayamimi niliyeleta uzi huu niko uku nimwaka wa tano nimepata mateso yafuatayo
1. kuna baadhi ya mitaa mpaka uombe marafiki wakusindikize, na wawe marafiki wa kizungu,
2.Kuwa na girllfriend wa kizungu au russia unakuwa umetangaza vita,
3. Mwaka juzi nilienda kanisa moja kusali yaan kanisani wakanibagua, ni kwamba pale kanisani wasioelewa kirusia wanapewa headphones za kutranslate, sasa mimi somo la kwanza nilijifunza kilugha chao bila wao kujua ili wasinisengenye, sasa nilifika kanisani pale, wakamgombeza yule demu alonipeleka eti NANI KAKWAMBIA HII NI MASS YA WAAFRIKA? AU NYANI WNATAMKA NENO обезьяна WAKIMAANISHA NYANI ukisikia BOREKGHRA jua ushaitwa nyani, NILIELEWA LAKIN YULE DADA AKAWA NA AIBU AKANIFUATA NA KUNISIHI KWAMBA HEAD SET ZA KUTAFSIRI HAZIPO WATATUPANGIA MASS YA WASIOJUA KIRUSSIA, ikabidi niondoke kwa kujifanya sijaelewa
4.kusimamisha bus hizi pertanduu hawasimami kama ni mwafrica mpaka kituoni labda awepo mzungu msimamishe kwa pamoja, naye huyo wa kituoni anasimama mbali na wewe,
5. Viwanja vya ndege hasa rostov on don na moscow mara nyingi waafrica husimamishwa kukaguliwa ndani ya msafara wanakagua wana sample waafrica tu,
6. ku book flight baadhi ya office unaambiwa imejaa wakati ukiwepo hapo hapo wengine wana book,
kweliKama hii habari ni ya kweli.
Naanza kumtilia mashaka Dr. Kuwa si MTU wa mchezo mchezo.
Unajua nilishangaa siku Ile wakati anapelekwa rumande. alikuwa MTU ambaye Hana wasiwasi. Wala presha.
KUNA KITU.
MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU.
KAMA AMEWEZA KUWATINGISHA WARUSI. huyu MTU wa kumuangalia kwa jicho la tatu.
kwa hiyo unatuaminisha dk. shika alijitengenezea hii website kabla ya kwenda mnadani?then he is smthn elsenakataa kabisa,ukiangalia hiyo website hakuna picha za ofisi,adress ya kampouni hakuna, e mail wanatumia msn wakati proffesionally ilitakiwa labda drshika@lancefortltd.ru then angalia vizuri website yao..www.lancefort.narod.ru ni free hosting sio za kulipia thats why kuna narod katikati ni kama .blogspot.com au .yola.com,website kwa mjanja akiingalia kwa macho tu changa la macho
Uki search google hawana rekodi ya kueleweka no results kabisa,kampuni moja inafanya shughuli kama 40,kuanzia fertilisers,petroleum,pharmaceutical hakuna hata picha za ma executives,mnadanganyika sababu kuna website tena ya free hosting?
CIA,FBI watengeneze bogus company in a foreign soil ambayo ina deal hadi na gesi na petrol?they must be crazy,CIA,FBI wakitaka info nzuri za nchi kama Russia huwa wanatumia wan KGB wa kulekule ndani(MOLES)refer story ya OLEG KALUGIN
nakataaa nakataaaa nakataaaaa ,mtoa mada hata kama kaeleza alichoambiwa simply ni kwamba mzee LUNYALULA KIDOLA aliwanywesha chai ya moto wabongo wa huko ku explain issue yake ya kukatwa vidole na kupoteza meno aka acome up with a fascinating story. NOOOOO
Kati yako na mleta thread nani zwazwa ,kwani spies ni wana siasa ?Mazwazwa wapo wengi humu mkuu, muda wote wanawaza siasa, kila kitu wao ni siasa tu, sasa Dr. Shika na siasa wapi na wapi?
ivi unadhani kama angekuwa anatakiwa kuuawa agekuwa hai hadi leo??? tehtehHapa nimekubali kuwa jamaa anataka kufungua Ofisi zao Tanzania na that is truth na hela wanayo na bado anaendelea na kazi ya Uspy na kwa kuwa hata aina ya maisha anayoishi ni aina ya watu walewale ... Kama aliweza kwenda Malaga 2012 basi bado ni agent wa hao jamaa na he is very bright ..
Hata Paspport yake imeandikwa Dr. kwa hiyo anayehoji credibility ya Udr. wake ni kilaza tu.
Mleta mada usiachangie chochote ulichokifanya umekifanya japo hii ya Nyumba itamfanya Jamaa ajulikane alipo na kuuliwa kwa kuwa wenzake waliuliwa na huyo anayetaka website iseme vyote basi ndiyo wale wale wanaomtaka Marehemu kanumba afungwe eti kwa kubaka wakati hata Mahakama imemuona kuwa Lulu alishakuwa mkubwa toka alivyokuwa na umri wa miaka 12.