Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Nakubaliana na wewe mkuu,mzee akuwa anataka umaarufu alikuwa serious ila wengi tumemchukulia kama kachizika.
 
Reactions: Lee
Mzee Upo Moscow Nini.
Unakaa ulitsa gani kama Upo Moscow mkuu.
Sema hao mademu gusa walio free kama wale wa club ya B52
 
Nakubaliana na wewe mkuu,mzee akuwa anataka umaarufu alikuwa serious ila wengi tumemchukulia kama kachizika.
Exactly kabisa japo na mimi nilikuwa miongoni mwa waliokuwa wanambeza
 
Umenielewa kweli? Mkuu kabla hujam-quote mtu jaribu kujiridhisha. Nimekusamehe bure
 
bro huyo akili unazo ameshindwa kuwaza zaidi
 
ni mchana unajua urusi uku miji inatofautiana masaa kwa mtu aliyeko novosibiriskiye na aliyeko sochi au volga wanatofautiana masaa mawili,

hapa moscow ni mchana kawaida saa tisa
Daaa maana ntakutuma sehemu unipelekee salamu.
 

Kwa kutunga mpo safi sana.

Mchezo wa kuigiza. Kunasiku nitashuha nondo!
 
Naunga dots kazi za ligumu na huyu jamaa spy 100% true
 
tukubaliane sasa dk. shika anatutumia wote kwa his personal gain, iwe ni nyumba ama malipo yake kwa wadau wake wa siku nyingi, huyu ni jasusi tena aliyekubuhu
 
Tafuta Uzi umo humu uusome mkuu una sema kuwa uhusiano kati ya ukichaa na ugenious
 
Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
Ila hapo kwenye kujidhamini mwenyewe Nina mashaka napo.
Polisi wa bongo wakwambie ujidhamini mwenyewe? Sijuiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…