Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

mimi niliyeleta uzi huu niko uku nimwaka wa tano nimepata mateso yafuatayo

1. kuna baadhi ya mitaa mpaka uombe marafiki wakusindikize, na wawe marafiki wa kizungu,
2.Kuwa na girllfriend wa kizungu au russia unakuwa umetangaza vita,
3. Mwaka juzi nilienda kanisa moja kusali yaan kanisani wakanibagua, ni kwamba pale kanisani wasioelewa kirusia wanapewa headphones za kutranslate, sasa mimi somo la kwanza nilijifunza kilugha chao bila wao kujua ili wasinisengenye, sasa nilifika kanisani pale, wakamgombeza yule demu alonipeleka eti NANI KAKWAMBIA HII NI MASS YA WAAFRIKA? AU NYANI WNATAMKA NENO обезьяна WAKIMAANISHA NYANI ukisikia BOREKGHRA jua ushaitwa nyani, NILIELEWA LAKIN YULE DADA AKAWA NA AIBU AKANIFUATA NA KUNISIHI KWAMBA HEAD SET ZA KUTAFSIRI HAZIPO WATATUPANGIA MASS YA WASIOJUA KIRUSSIA, ikabidi niondoke kwa kujifanya sijaelewa

4.kusimamisha bus hizi pertanduu hawasimami kama ni mwafrica mpaka kituoni labda awepo mzungu msimamishe kwa pamoja, naye huyo wa kituoni anasimama mbali na wewe,
5. Viwanja vya ndege hasa rostov on don na moscow mara nyingi waafrica husimamishwa kukaguliwa ndani ya msafara wanakagua wana sample waafrica tu,
6. ku book flight baadhi ya office unaambiwa imejaa wakati ukiwepo hapo hapo wengine wana book,

Dah!! Pole sana mkuu.
 
We paskali akili yako inawaza wanawake tu sijui umelogwa.
Mkuu Molembe, kati ya vitu ambavyo kabila langu, huwa hatuwazii kabisa, ni wanawake!, kwetu wanawake ni kitu routine, huwazi kama usivyowaza kunywa maji, ukisikia tuu kiu, unajua maji yalipo, unakunywa, majani ya chai usitake kuyafanya ni bidhaa adimu, ukisikia njaa, unakula tuu, popote, yoyote na ndio maana tuna wengi.

Pole
 
Mtanzania dr shika, kama alikuja kujificha dsm basi kwa hizi hits, basi maisha yake yapo hatarini... na HAITOPENDEZA ‍♂️[emoji18]
 
hahahahaha we unayajua maeneo hayo kumbe gonga glass , mademu hao wako free ukigonga occupied , kabuli lina ku occupy haraka haha
Mikluho maklaya,metro belyaeva,stesheni ya VDX kule Parke mkuu kwenye kumbukumbu za yurin gagalin. Mitaa ya ashan, na kule IKEA nimezulu sana mkuu.member wa rudn
 
Unamuongelea Mudi Bilali?

Anyway ..to cut the story short ...hao jamaa wako wengi sana.nawafahamu baadhi yao.
Swali ni je CIA wamemtelekeza mtu wao au la, kama sivyo basi huyu jamaa ni habari nyingine
 
dr shika.jpg
 
Swali ni je CIA wamemtelekeza mtu wao au la, kama sivyo basi huyu jamaa ni habari nyingine
mi bado siamini kama this guy ni CIA...Ni mtu aliyekuwa russia anafanya kazi somewhere...kuna kitu hakikwenda sawa mahali..wakamfanya hakuna..akapoteza nati fulani..he is genius ambaye nati zimecheza..wakati nati zinakata ilikuwa kipindi alichodhulumiwa...na haikuwa such billions...
 
mimi niliyeleta uzi huu niko uku nimwaka wa tano nimepata mateso yafuatayo

1. kuna baadhi ya mitaa mpaka uombe marafiki wakusindikize, na wawe marafiki wa kizungu,
2.Kuwa na girllfriend wa kizungu au russia unakuwa umetangaza vita,
3. Mwaka juzi nilienda kanisa moja kusali yaan kanisani wakanibagua, ni kwamba pale kanisani wasioelewa kirusia wanapewa headphones za kutranslate, sasa mimi somo la kwanza nilijifunza kilugha chao bila wao kujua ili wasinisengenye, sasa nilifika kanisani pale, wakamgombeza yule demu alonipeleka eti NANI KAKWAMBIA HII NI MASS YA WAAFRIKA? AU NYANI WNATAMKA NENO обезьяна WAKIMAANISHA NYANI ukisikia BOREKGHRA jua ushaitwa nyani, NILIELEWA LAKIN YULE DADA AKAWA NA AIBU AKANIFUATA NA KUNISIHI KWAMBA HEAD SET ZA KUTAFSIRI HAZIPO WATATUPANGIA MASS YA WASIOJUA KIRUSSIA, ikabidi niondoke kwa kujifanya sijaelewa

4.kusimamisha bus hizi pertanduu hawasimami kama ni mwafrica mpaka kituoni labda awepo mzungu msimamishe kwa pamoja, naye huyo wa kituoni anasimama mbali na wewe,
5. Viwanja vya ndege hasa rostov on don na moscow mara nyingi waafrica husimamishwa kukaguliwa ndani ya msafara wanakagua wana sample waafrica tu,
6. ku book flight baadhi ya office unaambiwa imejaa wakati ukiwepo hapo hapo wengine wana book,

Dah Kumbe Urusi ni nchi ya Kishenzi hivi nilikua naikubali bure tu
 
hUYU MZEE hizi story ana hallucinate atakuwa aliwapa hizo hadithi hao wenzake huko Russia,CIA FBI hawawezi kumtumia mtu kama yule wakawasiliana naye direct lazima awe na HANDLER wa ku exchange infos,sio wajinga eti waache traces za kijinga hivyo.
Controversy: Dr. Louis Kid Shika and Lancefort Ltd
PostFri Nov 10, 2017 12:24 pm

Updates Regarding Dr. Louis Shika (to get the background of this story, jump to the bottom of this topic):

Dr Louis Shika ( Louis S Kid) is potrayed on the website: http://www.lancefort.narod.ru as a President of Lancefort Ltd, and possibly as the company's General Director.

The name, Louis S Kid as seen on http://www.lancefort.narod.ru, appears on what seems to be his passport:

https://www.*****.com/download/file.php?mode=view&id=589

Lancefort Ltd (this company might have changed its contact details: LANCEFORT LLC) seems to deal with Manufacture, Export and Import. Full details regarding the company and its administration profile are listed below:
  • Company: Lancefort Ltd.
  • Type of Business: Manufacture, Export, Import.
  • Banker: Bank for foreign trade Vneshtorgbank
  • Working hours: 12-16 GMT
  • 17-20 GMT.
  • Phones: words 7-095-139-91-86
  • Fax 7-095-246-20-20
  • Web Site: http://lancefort.narod.ru
  • E- mail: Lancefort@msn.com
  • Snail mail: 125284 Moscow, P. O. Box 9, Moscow � Russia.
  • President: Louis S Kid
  • General Director: Dr. Lunyalula KRS
  • Executive Director: Butina Nataly Alexandrovna
  • Director for International Affairs and First PS to the President: Gracheva Olga Mihailovna
  • Production and Sales Director: Krasnoborova Julia Sergeevna
  • Chief Accountant: Shaova Iren Yurievna
  • Board of Directorate: The board of directorate consists of all the above under the chairmanship of Gorbachev MS
  • NB: All correspondence should be addressed to: The Director for International Affairs.

The Lancefort Ltd, according to its website, more explicitly, deals with:

  • Agricultural and other chemicals
  • Fertilizers
  • Chemicals for different uses
  • Vehicle industry
  • Production of accumulative batteries
  • Steel industry
  • PVC
  • Synthetic caoutchouc (raw material for rubber wares)
  • Varnish-and-paint materials
  • Food additives
  • Cinema, photo, television industry
  • Soap, perfumes and other cosmetic industry

The full correspondence Lancefort Ltd contact information are as follows:

  • The Director for International Affairs, 125284 Moscow, P. O. Box 9, Moscow, Russia.
  • Phones: Words 7 095 1399186
  • Fax: 7 095 2462020
  • E. mail lancefort@msn.com
 
Exactly kabisa japo na mimi nilikuwa miongoni mwa waliokuwa wanambeza
Ata mimi mkuu ila tokea atoke lupango nimeanza kumfuatilia habari zake nimegundua ana vitu vingi vya kuwaeleza watanzania ila alitafuta chance haikuwezekana ndio maana akapitia kule kwa Lugumi mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom