MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
IKO POA SANA ILA USIJIFANYE MCHUKUA HABARI UTAJUTA !!!!Dah Kumbe Urusi ni nchi ya Kishenzi hivi nilikua naikubali bure tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IKO POA SANA ILA USIJIFANYE MCHUKUA HABARI UTAJUTA !!!!Dah Kumbe Urusi ni nchi ya Kishenzi hivi nilikua naikubali bure tu
Mjanja akikutana na mjanja mwenzake haitadhuru.Aisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Nataka nione picha yake wakati yupo kijana za kuanzia 1980 - 2000
Usije kushangaa waandishi wakapigwa marufuku kwenda kumuhoji.DUH.
DR KUMBE NAYE NI MTU SASA.
SERIKALI ISILALE, IFUATILIE HAKI ZAKE ZIPATIKANE.
WAANDISHI NA WATANGAZAJI HUU NI MUDA WA KUKAA NA DR. MFANYE NAYE MAZUNGUMZO MTUJUZE KIUNDANI.
ANA KITU NA MKIMUHOJI VIZURI ATATUELEZA NA TUTAJIFUNZA. NA KAMA NI SHUSHUSHU HUENDA IKAWA ILE ILIKUWA MBINU YA KUPATA ATTENTION ILI ATOE YALIYO MOYONI.
Wewe ni hawara yake Tundu nini? Inaelekea bila yeye hauishi sasa wengine ni tofauti kidogo tunamuona kama wehu wengine huko mitaani, hatufanani Kamanda kila mtu ana vipaumbele vyake.Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
KUNBE SSISI NGOJA TUKOMAE KWAnza ilia nikija wasinikataze kununua nyumba za lugumi za enzi zijazoNo kalisharudi, sasa ni RMO mkoa Fulani.
P.
hahaha sijui mkuuuNyandandu nini mkuu? Nahisi jina lake nimepatia au nimekosea spelling?
Nataka nione picha yake wakati yupo kijana za kuanzia 1980 - 2000
hahahaWabongo bana,
We wape tu title, story wataweka wenyewe
Kwa hii avator, Sweet Riziki nisubiri inboxSasa hapo hujapata jibu tu , kupoteza Mali zote hizo atabaki salama kweli mkuu.
kabisa mkuu,yeahhh..au wakati nati zinalegea alidhulumiwa kitu flani
washenzi mnooDah Kumbe Urusi ni nchi ya Kishenzi hivi nilikua naikubali bure tu
Pole sana mkuu,nimevuta taswira unayoielezea nimechoka,ni ngumu sana kuishi huko.mimi niliyeleta uzi huu niko uku nimwaka wa tano nimepata mateso yafuatayo
1. kuna baadhi ya mitaa mpaka uombe marafiki wakusindikize, na wawe marafiki wa kizungu,
2.Kuwa na girllfriend wa kizungu au russia unakuwa umetangaza vita,
3. Mwaka juzi nilienda kanisa moja kusali yaan kanisani wakanibagua, ni kwamba pale kanisani wasioelewa kirusia wanapewa headphones za kutranslate, sasa mimi somo la kwanza nilijifunza kilugha chao bila wao kujua ili wasinisengenye, sasa nilifika kanisani pale, wakamgombeza yule demu alonipeleka eti NANI KAKWAMBIA HII NI MASS YA WAAFRIKA? AU NYANI WNATAMKA NENO обезьяна WAKIMAANISHA NYANI ukisikia BOREKGHRA jua ushaitwa nyani, NILIELEWA LAKIN YULE DADA AKAWA NA AIBU AKANIFUATA NA KUNISIHI KWAMBA HEAD SET ZA KUTAFSIRI HAZIPO WATATUPANGIA MASS YA WASIOJUA KIRUSSIA, ikabidi niondoke kwa kujifanya sijaelewa
4.kusimamisha bus hizi pertanduu hawasimami kama ni mwafrica mpaka kituoni labda awepo mzungu msimamishe kwa pamoja, naye huyo wa kituoni anasimama mbali na wewe,
5. Viwanja vya ndege hasa rostov on don na moscow mara nyingi waafrica husimamishwa kukaguliwa ndani ya msafara wanakagua wana sample waafrica tu,
6. ku book flight baadhi ya office unaambiwa imejaa wakati ukiwepo hapo hapo wengine wana book,
huyu mzee nahisi ni tunu ya taifa wanapaswa waandishi wa habari wasimzongeee
Ok BashiteWewe ni hawara yake Tundu nini? Inaelekea bila yeye hauishi sasa wengine ni tofauti kidogo tunamuona kama wehu wengine huko mitaani, hatufanani Kamanda kila mtu ana vipaumbele vyake.
Yaani watu ni wabishi sijawahi kuona... Polisi wamechukua benki statement worth and with said amount na hakuna aliyebisha on top wameweza kumuachia kwa kujidhamini still kuna mtu anawasiwasi na huyu Jamaa... Ulizeni waliokuwa wanaenda Urusi Miaka yake na kazi gani walikuwa wakiifanya..Dola bilioni 10 za marekani!?? Yet still hana dola $150 za insurance....yeye hana personal account ya hela zake??
Hizo hela zimekaa huko zinafanya nini na yeye huku anaishi kihohehae??