Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

hUYU MZEE hizi story ana hallucinate atakuwa aliwapa hizo hadithi hao wenzake huko Russia,CIA FBI hawawezi kumtumia mtu kama yule wakawasiliana naye direct lazima awe na HANDLER wa ku exchange infos,sio wajinga eti waache traces za kijinga hivyo.
Kwani yukoje Mkuu? una maana ya mwonekano au?
 
Pia angalia madegree aliyoyasoma... tena mfululizo from 1st Degree to fourth Degree. na akafungua Kampuni with all legal documents halafu mtu analeta hoja nyepesi ya kutomuamni
watu hawaamini kabisa huyu mtu alikuwa mkubwa mnoooo
 
watu hawaamini kabisa huyu mtu alikuwa mkubwa mnoooo
Kupitia hili nimethibitisha asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi kwa kubisha tu yaani ni wepesi kubisha hata kitu kilicho wazi. Nilikuwa naambiwa watu wanaotoka Mkoa wa Kigoma ndiyo wabishi lakini kupitia hili asilimia kubwa ya Watanzania ni wabishi na wengi wanajifanya wajuaji mno.. Kwa hiyo hata kama kitu kimekutestified na all approved document bado kuna mtu atabisha tu na kuhusisha na siasa.
 
Dr shika spy halafu mpaka sasa urusi wawe wamemuacha huru mbona mbona kama ni magushi haya hv ushawahi kufikiri spy when wanamkamata halafu anapotea mbona hata akili ya kitoto kufikiria haiji kichwani sory [emoji120][emoji120][emoji120] kuwa serous bs na huonuzi wako japo tupe uongo wenye ukweli bs!!!! Dr namashaka bdo tena spy daaah acha masihara haya ila umejitahidi kidogo hayo madomo me nayajua ssana na kama ni kweli hakuna spy mjinga na mpuuz kama yeye kutokea duniani na leo anajiweka wazi kabisa hahhahahahah NOT TRUE•••
 
Duh Dr katisha, ni msomi haswaa, ila nahisi kaathirika kisaikoloji...pia ni kidume kina watoto wengi wengi...ila sina uhakika na hizo pesa...pia ishu ya mnada huwa haichukui mda mrefu, sasa Dr alikuwa na uhakika gani kuzipata karibuni? Hasa hiyo 25%?
 
Ninachotaka kukubaliana na bandiko hili ni katika maelezo ya dr Luis, alivyoeleza kwamba alivyotoroka huko akawa na mashaka na usalama wake.
Amekuwa akijifichaficha!
Kama mtu ukitekwa kwa madhumuni ya "kikombozi", then akawatoroka, wanawezaje tena kukufuatilia nchi za mbali, wanakufuatilia kutafuta nini na ili iweje?
Me nadhani maelezo anayotoa mtoa mada yaweza kuwa useful zaidi kuliko maelezo anayotoa Shika, kwa kuwa maelezo yake hayakidhi vigezo vya ukweli.
Kuishi Russia, kutekwa na mengineyo yaweza kuwa kweli, ila uhalisia wa kitovu halisi cha kazi alitokuwa akifanya huko ni mkanganyiko mkubwa.
 
Huyu jamaa sio wa kisponga sponga kama tunavyomchukulia

itakuwa ni jasusi la CIA lililowindana na mijasusi ya KGB

siku za nyuma.....amekuja ku lay low tz
 
Haiwezi fahamika tena na Dr. amekwambia hao Polisi walienda kumpekua na walikuta na bank statement ya Kampuni yao sijui ya Dr which had alot of Money... na wakaondoka nayo na baada ya kukukotoa amesema the statement tu kwenye akaunti moja ilikuwa na hela equivalent na 20 Billion na akasema TRA wanted only 3Bill plus sasa kwa nini tunaendelea kujiuliza muonekano wake na ukweli wa kazi yake.

Pia kwenye mahojiano amesema aliweza kuwatoroka watekaji japo aliteswa sana .. Kwa aina ya uteswaji aliofanyiwa mtu pekee ambaye anaweza kutoroka ni Mtu mwenye mafunzo ya hali ya juu ambayo Dr ameyapitia. kwa hiyo na ukiangalia anavyoongea yupe well organized na anaakili zake zote timamu na kwa utani tu aliwatania kuwa Kapuku kwa lengo la kuwakejeli.
Maisha ya Spy siyo Maisha ya akina Bashite .. Spy wa kweli hajikwezi , na moja ya sifa kuu zao hawapendi kupitwa na taarifa yoyote na kama umemsikia na kufuatilia mienendo yake yeye na kijiwe cheenye magazeti ni uji na Mgonjwa. Bado kuna watu wenye vichwa ngumu kwenye hiloo.....

Hiyo ni hazina tosha ambayo Nyerere pekee ndiye anayejua thamani yake ila sisi wachumia tumbo tutaendelea kuwaza na kumuwaza na kumuwazua kwa kuwa hatujui misingi ya Usalama wa Taifa
Mkuu hebu rudia hapo kwenye bilion 20

Unamanisha kwenye acount ya dk kuna bilion 20 au sijakupata mkuu
 
Baada ya kutazama Video zake,na kusoma huzi huu, bado kunaconnection flan kati yake na wamarecan labda walikuwa wanamtumia kupitishia pesa zao au kutoa pesa zao Urusi, walimtilia shaka sana kuona anapesa nyingi hivyoo, aliposema bado nafwatuliwa na Urusi akaongeza shaka sana sana, hakusema pia spain alienda kufanya nini shaka lingine> ukimwangialia kakatwa vidole viwili, vya mkono wa kulia na kimoja Kushoto, haya tunajua na mateso ya kijasusi, mbavu zote mbovu bado ni mateso ya kijasusi, sisemi moja kwa moja jasusi lakini alikuwa anatumiwa kijasusi, kupitishia pesa zao na NK, NA HILI LA KUSAIDIWA NA UBALOZI WA MAREKANI LINAONGEZA SHAKA ZAIDI ALL IN ALL bado TUNA CHA KUJIFUNZA KWAKO PAMOJA NA KUWA ELIMU YA JUU. LABDA PIA KUNA WATU WANA DETIALS ZAKE WANATAKA KUMTUMIA KUFANYE YAO
 
Mara paap, Dr. Shika CIA.
Tukiunga story labda atakua CIA aliekamatwa na warusi wakamtesa mpaka wakamuharibu akili ili kmuvuruga,
Hivyo vikampuni ni vile ambavyo vinafunguliwa kama zuga tu, behind the scene ndio Argent wenyewe hao
 
Back
Top Bottom