Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Mkuu unatia kinyaa.. Lisu yupo nairobi kama umemiss akushikeshike masaburi nenda yupo kule
Mkuu uko wapi njoo ule hata nyama choma maana humu watu wamekariri kila saa siasa tuu duuuh asante.
 
We unajua muhasibu mtata wa takukuru kajificha wp?
mbona huyo mhasibu kajitokeza wewe unadanganywa kirahisi unakubali kama wale waumini wa kibwetele waliochomwa moto kanisani huku wakimpa Mali zao kibwetele..
 
Nami kwa nafasi yangu nimechambua na kukutana na hii video akihojiwa na Ayo Tv...
mnaweza kuifungua hii link na kupata chochote"maelezo" binafsi bado sijui chochote nawe angalia huenda ukapa chochote kulingana na hii thread
unaweza angalau kuhusianisha mambo hafuatayo au ukawaza yafuatayo
1.Utajiri wake wa zaidi ya 10 billions USD Kwenye account mbali mbali
2.Kampuni yake
3.Kuhusishwa na CIA
4.KGB
Na mengine utakayoweza kuyafikiria kutokana na video/mahojiano na Ayo TV.


Mods Mhariri wanaweza kutusaidia kuziweka VIDEO Juu front Page kwenye Mada Haya mahojiano ya Video 2 za Dr.Shika akihojiwa
 
Aisee huyu mtu sio wa kupuuzwa na kama ni mtu wa hivyo anaweza asichukue muda maana inaonekana ana mengi sana ya watu na siri nyingi kama kuna uwezekano akae chini ya uangalizi maalumu
Wengi mkuu hawajui serikali gaidi upelelezi wake ni mkubwa sana, hata hivyo dr ameamua kujilipua tu liwaloliwe. Enyi mnaoona mambo juu juu acheni hamjui msmbo ya usalama wa nchi ili dr Louis hababaishi. Kumbe hujui unaweza ambiwa Ben Sanaane yupo urusi amepeleka matokeo ya upelelezi wake au kafichwa tu alikuwa anasaidia fbi. Sory siko huko ila jueni hujui ya usalama.
 
Dr Shika ni dumped Agent, anaweza kuwa anayajua mengi aliyokuwa anayafanya huko Urusi lakini kwa sasa ni dumped agent wa CIA, inaonekana kabisa CIA walimtumia kwa manufaa yao akiwa Urusi wakati huo huo akiwa hajui chochote kuhusiana na CIA and USA.. KGB baada ya kumgundua kwa vyovyote walimuandama kujua nani yuko nyuma yake na pia kujua anashirikiana na akina nani ndani ya Urusi hapa inaonekana KGB wanataka kuwajua warusi wenzao ambao ni double agent au ni mapandikizi ya USA. Ni asset kwa Urusi kwa maana ya kumkamata in secret cell kumhoji huku akiteswa kujua ukweli wake ndani ya Urusi na kuwapata mamluki wengine ndani ya Urusi, kwa USA huyu ni liability kwa sasa maana kazi yao ilishaisha na Dr Shika hayuko tena Urusi alipokuwa kibaraka wao na huku tanzania alipo wapo vibaraka wao wengine ambao hawapaswi kujuana wala yeye Dr Shika kuwajua..

Dr Shika baada ya kugundua yeye ni dumped agent na anapigwa porojo tu na CIA ikiwa ni pamoja na kudanganywa juu ya hela au hizo transaction ndio akaamua kutoka huko mafichoni aliko ili asaidiwe na jamii na ikiwezekana apate msaada wa kiserikali ili KGB wasije kumchukua hapa kama popo vile...

Wito kwa Serikali, huyu jamaa Dr Shika anahitaji msaada wa kiusalama na saikolojia maana ni dumped agent wa CIA ambaye anasakwa na KGB ili atoe taarifa muhimu juu ya mamluki waliopo Urusi, ni vizuri vyombo vya serikali vikamlinda na kumchunguza zaidi ili kumjua undani wake na mwisho wa siku awe salama. Kwa upeo na mafunzo ambayo anaonekana anayo ni vizuri taasisi nyeti za usalama zikamtumia sehemu fulani anaweza kuwa msaada kuliko kumuacha frustuated na maisha ya mtaani baada ya CIA kumdump.
 
[
Mkuu heshima kwako

Napata wasiwasi mkubwa sana kuhusu maelezo yako, unasema baada ya kufika Moscow leo sijajua leo unaamanisha leo 15th November au lini??

Pili umemtaja Elibariki Dishon kama Mtanzania aliyekupokea hilo pia linatia shaka kwa sababu zifuatazo. Mimi ninaishi Moscow na nina familia na tuna umoja wa Tanzania hapa ( Diaspora) na jina hilo ulilitaja sijawahi kulisikia labda kama huyo Elibariki amekuja Moscow mwezi uliopita.

Pili Dr baada ya kupatwa na masaibu ya kukatwa vidole alikimbilia ubalozi wa Tanzania Moscow, kipindi balozi akiwa Patric Chokala na alisaidiwa kuondoka, naweza kukutajia hata mtu aliyempeleka uwanja wa ndege( na ahata ubalozi haukuwahi kujua sababu ya masaibu yake) ila kwa ufupi ilionekana ana matatizo ya afya ya akili.

Kwa wanaojua utaratibu wa address za Russia utaona shaka kabisa na address za hiyo kampuni

Kama uko Moscow ingia inbox nikakuribishe kwangu tuzungumze


Kwahiyo website dk kajitengenezea au una manisha nini
 
My Great Man of the Week
Sio week I think
Suppose to be
Man of the year.
Yaani Hata anavyoongea you can tell
Ni msomi Na pesa kwake Si kitu cha kumshtuaa
Sema zile Ngumi za meno walizompiga watekaji urusi
Kurudi ghafra zilimfanya aanze kuwa mental
Matatizo yasikie kwa jirani
 
Back
Top Bottom