Mkuu uko wapi njoo ule hata nyama choma maana humu watu wamekariri kila saa siasa tuu duuuh asante.Mkuu unatia kinyaa.. Lisu yupo nairobi kama umemiss akushikeshike masaburi nenda yupo kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uko wapi njoo ule hata nyama choma maana humu watu wamekariri kila saa siasa tuu duuuh asante.Mkuu unatia kinyaa.. Lisu yupo nairobi kama umemiss akushikeshike masaburi nenda yupo kule
Basiiiiii ,usiexpose jina lake plzBrittanica huyo kijana atakuwa anasomea mambo ya hali ya hewa nadhan namfahamu huyo kijana anafanya kaz airport moja wapo kanda ya ziwa
Lisahaulike Mara mbili?Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Kuna jinsi polis wamepima wakaona ni level inginedr shika sio mtu wa mchezomchezo kwa kesi ya kutaka kutapeli nani alishaambiwa ajidhamini
mbona huyo mhasibu kajitokeza wewe unadanganywa kirahisi unakubali kama wale waumini wa kibwetele waliochomwa moto kanisani huku wakimpa Mali zao kibwetele..We unajua muhasibu mtata wa takukuru kajificha wp?
Nami kwa nafasi yangu nimechambua na kukutana na hii video akihojiwa na Ayo Tv...
mnaweza kuifungua hii link na kupata chochote"maelezo" binafsi bado sijui chochote nawe angalia huenda ukapa chochote kulingana na hii thread
unaweza angalau kuhusianisha mambo hafuatayo au ukawaza yafuatayo
1.Utajiri wake wa zaidi ya 10 billions USD Kwenye account mbali mbali
2.Kampuni yake
3.Kuhusishwa na CIA
4.KGB
Na mengine utakayoweza kuyafikiria kutokana na video/mahojiano na Ayo TV.
Wengi mkuu hawajui serikali gaidi upelelezi wake ni mkubwa sana, hata hivyo dr ameamua kujilipua tu liwaloliwe. Enyi mnaoona mambo juu juu acheni hamjui msmbo ya usalama wa nchi ili dr Louis hababaishi. Kumbe hujui unaweza ambiwa Ben Sanaane yupo urusi amepeleka matokeo ya upelelezi wake au kafichwa tu alikuwa anasaidia fbi. Sory siko huko ila jueni hujui ya usalama.Aisee huyu mtu sio wa kupuuzwa na kama ni mtu wa hivyo anaweza asichukue muda maana inaonekana ana mengi sana ya watu na siri nyingi kama kuna uwezekano akae chini ya uangalizi maalumu
Kuhusu niniHuyu mzee nimwshaanza kumuamini sio wa kuzarauliwa hata kidogo ana mengi sana ya kutujuza
Mkuu juu ipi hiyoWell said. Na kwanini Mambo sasa alipigiwa simu kutoka juu kuwa amwachie na ikawa ivo??? Dr Shika yupo well organized na anajua afanyalo
Kwahiyo website dk kajitengenezea au una manisha nini[
Mkuu heshima kwako
Napata wasiwasi mkubwa sana kuhusu maelezo yako, unasema baada ya kufika Moscow leo sijajua leo unaamanisha leo 15th November au lini??
Pili umemtaja Elibariki Dishon kama Mtanzania aliyekupokea hilo pia linatia shaka kwa sababu zifuatazo. Mimi ninaishi Moscow na nina familia na tuna umoja wa Tanzania hapa ( Diaspora) na jina hilo ulilitaja sijawahi kulisikia labda kama huyo Elibariki amekuja Moscow mwezi uliopita.
Pili Dr baada ya kupatwa na masaibu ya kukatwa vidole alikimbilia ubalozi wa Tanzania Moscow, kipindi balozi akiwa Patric Chokala na alisaidiwa kuondoka, naweza kukutajia hata mtu aliyempeleka uwanja wa ndege( na ahata ubalozi haukuwahi kujua sababu ya masaibu yake) ila kwa ufupi ilionekana ana matatizo ya afya ya akili.
Kwa wanaojua utaratibu wa address za Russia utaona shaka kabisa na address za hiyo kampuni
Kama uko Moscow ingia inbox nikakuribishe kwangu tuzungumze
We changanua mwwnyewe hapa ni home of GTMkuu juu ipi hiyo
Sio week I thinkMy Great Man of the Week