Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

Nimebakisha miaka 4 kuingia 30.

Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.

Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.

Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k

Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.

Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.

Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .

Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Ulivyoandika utadhani ulishafika hiyo miaka 30, kumbe bado.
Nikupe tu siri, umri hauna maana yoyote katika namba bali katika uhalisia wa maumbile, maisha na majukumu.

Kwa mfano, binti aliyefikisha miaka 30 na bado hajaolewa, hiyo inaweza kumpa shida wakati mvulana wa umri huo huo anaendelea kula maisha ya ubachela kwa raha, furaha na amani.

Kijana aliyemaliza shule ya msingi na kuingia mtaani akifikisha miaka 20 na bado hajafikia malengo yake ya msingi (ajira, mke/mtoto, kujitegemea) anaweza kujihisi umri umemtupa mkono na bado hajafanya kitu. Wakati huo huo msomi wa chuo kikuu anaweza kuwa amefikisha miaka 30 ana ajira ya kudumu, bado anakula na kulala kwa wazazi wake, hajui lini atachumbia na kila kitu anaona bado.

Age with life is a complex parabox.
 
Hiyo miaka 30 kwa mwanamke tayari kashakuwa msimbe au kibungo kwa ambao hado hawajaolewa huwa wanahaha sana kutafuta mume kwa manabii, wengine kwa waganga

Utawasikia wengine wakijifariji kwanza kuolewa sio lazima

Ikitokea akapata ZALI la kuolewa kwenye harusi anaruka ruka kama ndama na nyimbo za vijembee kibao

Ndo unajua kumbee alikuwa anaitaka[emoji23][emoji23]
Daaah
 
JItahid uvuke hii hatua ya fikra ili ujiwekee mazingira ya kufanikiwa..live your life and let no one mess up with your confidence.. and last, no one cares. They dont even think about you.
Just live ur hustles
Dunia kukuzomea am not necessarily speaking about people naongelea tu mtu binafsi namna unajisikia,
Mfano una miaka 30 na mke na mtoto halafu unakaa kwenye mazingira ambayo sio mazuri na huna namna as a person unajisikia vibaya hata bila mtu kukwambia
Fikiria umetokea ukoo wa watu wengi mmekutana kusanyiko la sikuu among your peers wewe peke yako ndo unabangaiza (ndugu zako hawaihitaju kukusimanga but wewe as a person unajikuta tu you feel out of place)
 
Dunia kukuzomea am not necessarily speaking about people naongelea tu mtu binafsi namna unajisikia,
Mfano una miaka 30 na mke na mtoto halafu unakaa kwenye mazingira ambayo sio mazuri na huna namna as a person unajisikia vibaya hata bila mtu kukwambia
Fikiria umetokea ukoo wa watu wengi mmekutana kusanyiko la sikuu among your peers wewe peke yako ndo unabangaiza (ndugu zako hawaihitaju kukusimanga but wewe as a person unajikuta tu you feel out of place)
Sasa hii ni rahis zaid. Jikubali kwa situation ulionayo kwa wakat huo. Kujiskia vibaya kupo tu but kunabadilisha nni baada ya kujisikia vibaya.

Mimi binafsi niliacha kujichanganya kwenye vitu kama hivyo ambavyo najua kabisa nikienda nitakua disapointed so i pulled myself off - every interaction ambazo zitanifanya ni feel down..
 
Sasa hii ni rahis zaid. Jikubali kwa situation ulionayo kwa wakat huo. Kujiskia vibaya kupo tu but kunabadilisha nni baada ya kujisikia vibaya.

Mimi binafsi niliacha kujichanganya kwenye vitu kama hivyo ambavyo najua kabisa nikienda nitakua disapointed so i pulled myself off - every interaction ambazo zitanifanya ni feel down..
✌🏿
 
Miaka 30 kwa zama hizi sio mingi yaani usiposhangaa hata kujipanga bado sana.

Sababu kubwa na kutafuta elimu ,ebu jaalia umalize chuo ukiwa 22 au 23 then ujipange labda biashara au ajira ya fasta ..

Ila dogo wa mtaani bila ya kusoma alifika miaka 18 lazima aanze harakati za kutafuta pesa maana hana excuse ...Ina maana mpaka alifika miaka 30 yupo kweny game ya kutafuta pesa kwa miaka zaidi ya 12 ,kama ni biashara zishasimama au zimekufa.
Nikiwa na miaka 19 tayari nilikua nchi jirani nikifanya mazoezi ya uandishi wa habari.

Nilibahatika kufika maeneo mbali mbali kwa kazi hiyo.

Kabla ya huko mbeleni kuja kubadili taaluma.

Nashukuru Mungu sana mpaka sasa nimefanya mambo mengi tu.


I am happy.
 
Ipo siku nitaacha ubishani hapa jukwaani maana kuna muda utabishana na kaka zako na baba zako na mwisho unawashushia heshima waliokuzidi au uliowazidi ilihali sikufunzwa hivyo .

God bless you DR HAYA LAND lakini asikubariki wewe pekee yako aibariki na timu ya Manchester United .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hii ni rahis zaid. Jikubali kwa situation ulionayo kwa wakat huo. Kujiskia vibaya kupo tu but kunabadilisha nni baada ya kujisikia vibaya.

Mimi binafsi niliacha kujichanganya kwenye vitu kama hivyo ambavyo najua kabisa nikienda nitakua disapointed so i pulled myself off - every interaction ambazo zitanifanya ni feel down..
Binafsi kujisikia vibaya makes me work harder in every area nnayotaka kuimprove.
Progress inaleta furaha
 
Back
Top Bottom