Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
True mkuu ππ½ππ½ππ½Yan balaa.Binafsi mimi siku hiz nataman angalau siku iwe japo na masaa 34..Yan naona siku zinakimbia balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True mkuu ππ½ππ½ππ½Yan balaa.Binafsi mimi siku hiz nataman angalau siku iwe japo na masaa 34..Yan naona siku zinakimbia balaa
Hii sasa ndio comment zinatokana na experience...Big up mkuu. Nafikir na mimi na trend kama wewe.. i was fine... nika/nime drop mbayaaa and now and levellingMaisha ni tofauti na unavyofikiria binafsi nilijapata nikiwa na miaka 27 nilijipata haswa ila mambo yakaja kuharibika nikiwa na miaka 34.
Sasa hivi nipo 40+ mambo yapo vizuri ila sio kama nilivyokuwa nina miaka 27.
Hapana. Wewe ni wangu kamanda.. ni moja kati ya watu walinipa msukumo na presha ya kutoka nje ya box kuhusu masuala ya maisha mdogo angu. ushawah kuona mtu anashaur mtu aache kaz wakat hana kazi? πππ€£π€£π€£π€£π€£π€£ kaka unanisagia kunguni
HahahahahahahahaZamani ulikua unamshangaa mtu mwenye miaka 30 bado anakaa kwao leo mtu huyo ni wewe siyo poa wanangu
Maumivu ni machungu sanaaa ila somo lake hutakaa usahau maisha yoote.maisha kwenye hii miaka ya 20s Bado sana,maana mtu Bado hajajua maumivu ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nimekusoma budaaa. Nilikuwa najiuliza mbona sikuoniHapana. Wewe ni wangu kamanda.. ni moja kati ya watu walinipa msukumo na presha ya kutoka nje ya box kuhusu masuala ya maisha mdogo angu. ushawah kuona mtu anashaur mtu aache kaz wakat hana kazi? ππ
Hii comment itawapa watu depression au sonona πππππ.Nilifikisha miaka 30 nikiwa tayari nimejenga mjini nyumba za wapangaji tano na za kuishi na wazazi wangu 2 na nimenunua viwanja ambavyo sikuwa nimejenga 3 ila sikuwa na mke wala mtoto
Hujanisoma badooooπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ nimekusoma budaaa. Nilikuwa najiuliza mbona sikuoni
Hii technique ndio angalau inanipa afuheni kipindi hiki cha mdondoko wa kiuchumi.Siri yamaisha ni.πhelayako yakazi yakwanza kabisa iwe ndogo au kubwa ndio yakufanyia malengo sasa wewe kalewee au kahonge au kulavizuri halafu badae utajilaumu sanaa
Ahhh wapiiiii hahaaaaa au sogea PMHujanisoma badoooo
Ahahaha comment za watu humu ndio maana ni muhimu sana kuzichunguza maana unaweza fanyia kazi mawazo na ushaur wa vijana ambao bado sanaa kukutana na punch za maisha ! πππ.30 bado sana aiseee
Ukiwa na pesa halafu ukaja ukadrop kuja kurudi kileleni ni kipengele sana tena sana na usipokuwa makini unajikuta umeangukia katika ulevi,kikubwa ukipata nafasi itumie vizuriHii sasa ndio comment zinatokana na experience...Big up mkuu. Nafikir na mimi na trend kama wewe.. i was fine... nika/nime drop mbayaaa and now and levelling
Mbali na imani pia kujihangaisha. Mkaa bure sio sawa na mtembea bure. Japo mtembea bure ana risk ya kugongwa huko njianππYote maisha tu chief.
Ila hakuna magumu yakudumu, yatapita tu muhimu kuwa na imani.
Binfasi siku na pesa ila nilikua na kipato kwakua nilikua nafanya kazi. Nikaamua kuacha kazi nankuanza kufanya biashara kulingana na proffesion yangu so kipato kikakata ngaaa!!! now am fighting to build new income channels ambazo zitakua endelevu even after am no longer. Hii kandanda sasa ya buznes establishment ndio kasheshe yenyeweUkiwa na pesa halafu ukaja ukadrop kuja kurudi kileleni ni kipengele sana tena sana na usipokuwa makini unajikuta umeangukia katika ulevi,kikubwa ukipata nafasi itumie vizuri
Tatizo laanzia utotoni na familia zetu.Upo sahihi Sana Self awareness ni silaha muhimu katika MAISHA maana TANZANIA watu wanafanya Kazi ila kwa kuikosa self-awereness unajikuta you end up being broke
To be smarter matter most in this life.
AiseeeJapo sijafika lkn now naona nimebadilika.
Aiseee ila mtoa mada ana 26Ahahaha comment za watu humu ndio maana ni muhimu sana kuzichunguza maana unaweza fanyia kazi mawazo na ushaur wa vijana ambao bado sanaa kukutana na punch za maisha ! πππ.
NB
sikusemi wewe but wewe umekua kama case study tu
Kwani kuna ubaya mtu akikaa kwao?Zamani ulikua unamshangaa mtu mwenye miaka 30 bado anakaa kwao leo mtu huyo ni wewe siyo poa wanangu
Kajiunga kwa MwamposaBasi endelea vizuri!Epuka makundi ya kijinga,Huwa kuchomoka huko ni ngumu.
Watoto wawili ni wachache sanaKwa msomi miaka 30 ni kama jana. Sio mingi.
Ila unatakiwa uwe ushatambua ukweli wa maisha. Na uwe ushafanya maamuzi wa kipi cha kufanya.
Then between 30-40 usimamishe ngome yako na watoto angalau wawili kama ni mpenzi wa familia