HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Umeamua wasema wana JFHiyo miaka 30 kwa mwanamke tayari kashakuwa msimbe au kibungo kwa ambao hado hawajaolewa huwa wanahaha sana kutafuta mume kwa manabii, wengine kwa waganga
Utawasikia wengine wakijifariji kwanza kuolewa sio lazima
Ikitokea akapata ZALI la kuolewa kwenye harusi anaruka ruka kama ndama na nyimbo za vijembee kibao
Ndo unajua kumbee alikuwa anaitaka[emoji23][emoji23]