Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Nadhani ndio maana waafrika tupo immune sana miili yetu sababu ya kula vyakula asili na sio GMO's lakini muhimu zaidi tunalishwa vyakula vyenye vimelea wa magonjwa bila kujua na mwili unavisoma na kujenga antibiotics kupambana navyo hadi vinatoweka.