Baada ya kufukuzwa kazi kaka yagu alitembea na mke wangu mpaka kumzalisha

Sasa acha ujinga wa kupost hizi thread mkuu, huku sio facebook kwa kina iddi makengo, hatufagilii huu utoto
 
we nyamaza tu,rudiana na mkeo mtoto ni damu yenu
 
Unaendelea na vyai vyako!
 
 
Huyo Kama yako Ni sawa na wewe tu.so anaendeleza generation yenu. Na je angezaa nje ungeona poa ama.shukru akabeba damu ya kwenu. Inabidi vijana muishi Kama akina NYERERE walivyoishi Hilo Rika watu walioa kuendeleza uzao na Koo yao. Nyie mnaoa Kama starehe. Mie mke wangu akipitiwa hata na mdogo wangu Yuko nyumbani haina shida kabisa
 
ili aongezewe mtoto wa tatu eeh😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…