Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Tumbili wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
1,125
Reaction score
2,233
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake?

Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.

Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
 
Subiria watoto wenzio watakuja kukushauri
 
Picha yako
 
Wakitoka tu kwenye ibada ya ndoa wakafanye yao,, yaani kabla hata ya ile sherehe ya usiku 🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…