Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #21
Mwanaume, toeni muongozo kuliko kumdhihakiHuyo ni mwanaume kweli au kasingiziwa? Jando irudishwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume, toeni muongozo kuliko kumdhihakiHuyo ni mwanaume kweli au kasingiziwa? Jando irudishwe
Tell him he has to consummate the marriage hapa ndio ndoa inakuwa imekamilika.Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Hilo neno la kingereza ndio maana yake niniTell him he has to consummate the marriage hapa ndio ndoa inakuwa imekamilika.
Sasa yeye alimuoa kwa ajili ya akili zake au mbususu yake. Aache ujinga
Lakini anaoa huyoThe number of MEN decrease everyday
Kiaje bloHuyo sio mzima,mwambie 360
Anaogopa kuonekana alimtamani kimwiliKama tendo haliwezwi kufanywa hiyo ndoa ni null
Kamwambie kwamba muda wake wa kuoa bado. Aahirishe hiyo ndoa haraka sana.Mwanaume, toeni muongozo kuliko kumdhihaki
Anafunga ndoa kesho na wageni wameishaanza kufikaKamwambie kwamba muda wake wa kuoa bado. Aahirishe hiyo ndoa haraka sana.
Siku hizi hata watoto wanaoa na mashoga pia wanaoa huku wanagongwa piaLakini anaoa huyo