MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
Humu ndani siku hizi kila mtu anaulizia kuhusu jambo la mtu fulani, kwani ukisema ni wewe kuna shida gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hiyo hiyo?Inabanduliwa tu
Na umwambie pia asipo mto....mber huyo mwanamke atamdharau na atawapelekea wanaume wengine wamfilimbizeTatizo yeye anasema mke wake atamhisi anatamaa za kimwili
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Ee kwan kaja kufanya nnSiku hiyo hiyo?
Basi sawaa...kila la kheri na ndoa yakeHajui hata mbususu inapokaa
Mwili Wa Kristu Unaochukiwa Mnoo Na Baadhi Ya Wafuasi Wa Allah!!
Sio mimi bloHumu ndani siku hizi kila mtu anaulizia kuhusu jambo la mtu fulani, kwani ukisema ni wewe kuna shida gani mkuu?
Asante, je baada ya hizo siku anashauriwa afanyaje?Akae siku 365
Tomato sauce?toka mwaka 90 hamna bikra ushahidi upo.⁰!¡Wote bikra
Mke wake ni bikra sasa akinanlii na wengine si atajulikana? Alafu jamaa anasema kuhusu kugongewa mke hana shida kikubwa mke awe na heshima ndani ya nyumbaNa umwambie pia asipo mto....mber huyo mwanamke atamdharau na atawapelekea wanaume wengine wamfilimbize
Well kama ni bikira pangeni pamoja mpango wenu wa uzazi km mnatarajia mpate mtoto wakati gani.mkielewana mpende mwenzio kwa maarifa na kufanya faragha angalau mara mbili kwa wiki ili msichokane.Kumbuka maana ya ndoa siyo faragha pekee ni kujenga familia familia ktk jamii inayomwogopa MunguNi bikra, unatoa ushauri gani
Jamaa aliyuita washkaji zake tukae da kuthibitisha ni kweli demu bikraTomato sauce?toka mwaka 90 hamna bikra ushahidi upo.
Hamna bikra toka mwaka 90.
Naongea kama mkufunzi wa mbunye zote duniani.
Ni ibada lazima wedding night io ndo inakamilisha aganoHabari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Nipe namba ya mkewe nikamfundishe jinsi ya kumuondoa aibu mumewe🤣🤣Alisema atafanya ila anamuonea aibu huyo mke wake