Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Well kama ni bikira pangeni pamoja mpango wenu wa uzazi km mnatarajia mpate mtoto wakati gani.mkielewana mpende mwenzio kwa maarifa na kufanya faragha angalau mara mbili kwa wiki ili msichokane.Kumbuka maana ya ndoa siyo faragha pekee ni kujenga familia familia ktk jamii inayomwogopa Mungu
Unashauri wafanye tendo siku ngapi baada ya ndoa? Maana jamaa anasema anaona aibu kufanya tendo
 
Mkuu binadamu wanabadilika na viumbe wote wanabadilika hata shetani alibadilika pia. Na huyo mwanamke atabadilika
Mke wake ni bikra sasa akinanlii na wengine si atajulikana? Alafu jamaa anasema kuhusu kugongewa mke hana shida kikubwa mke awe na heshima ndani ya nyumba
 
Huyo jamaa yako ni Fala sana.

Real man inatakiwa usiogope kuachwa, Inatakiwa wewe ndiyo umtengenezee mazingira ya yeye kuogopa kuachwa.

Mwambie asijaribu kuwa nice guy, Mwambie ale mzigo usiku kucha.
 
4000899.jpg
 
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA

Nyie hizi mada zinaletwa kwa lengo la kuchekesha ama watu wanamaanisha wanachouliza 😆
 
Back
Top Bottom