Baada ya kufungiwa ndani miezi 4, Yanga yamtoa nje Kambole

Baada ya kufungiwa ndani miezi 4, Yanga yamtoa nje Kambole

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
5e54634137304381a65c530b86602f7c_323707311_1352389291966828_3099472616241333721_n.jpg
D44CEED7-B1EB-4C1B-820F-BEA2D48B29E4.jpeg


Baada ya Yanga kumficha ndani mshambuliaji hatari Kambole kwa miezi 4 hatimaye leo ameachiwa kutoka nje.

Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.

Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.

TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.

Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.
Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo alifichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.

Lakini hayimaye leo ametoka nje
 

Attachments

  • D44CEED7-B1EB-4C1B-820F-BEA2D48B29E4.jpeg.jpg
    D44CEED7-B1EB-4C1B-820F-BEA2D48B29E4.jpeg.jpg
    120.6 KB · Views: 8
View attachment 2467028

Baada ya Yanga kumficha ndani mshambuliaji hatari Kambole kwa miezi 4 hatimaye leo ameachiwa kutoka nje.

Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili...
Kwa hiyo umefurahi, au umenuna? Chagua kimojawapo kati ya hivyo viwili.
 
jamaa alikuwa analishwa mapumba na unga na haji manara
 
Mitandao haisahau
Hii picha ilipigwa siku ya kumuaga daktari wao na kambole alikuwepo.

9754BD36-FCD1-4E9D-959F-E4CA871665CE.jpeg
 
jamaa alikuwa analishwa mapumba na unga na haji manara
Haya, ameshatoka kula hayo mapumba na unga! Mjiandae sasa kwa maumivu na vilio.

Maana unaambiwa yule Mayele anaye watetemesha kila siku, ni cha mtoto kwa huyo Kambole.
 
Afu mbona kavaa kapelo kaishusha chini ya macho kama wale watuhumiwa wa kesi za wizi wanavyofanya kuficha aibu?
Tuache kwanza tutulie, mbona mmetukalia kooni sana, sema taharifa ni ya ukweli au uzushi, kama kweli viongozi wanazingua sana daah na kisinda atupishe. [emoji3][emoji3]
 
View attachment 2467028
D44CEED7-B1EB-4C1B-820F-BEA2D48B29E4.jpeg

Baada ya Yanga kumficha ndani mshambuliaji hatari Kambole kwa miezi 4 hatimaye leo ameachiwa kutoka nje.

Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.

Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.

TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.

Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.
Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo alifichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.

Lakini hayimaye leo ametoka nje
Msukule umetolewa nje uote jua.
 
Yanga ni timu inayoongoza Kwa kuvunja sheria na kanuni za mpira Cha ajabu ndio pia inaongoza Kwa kulalamika inaonewa na TFF imejaa Simba
 
Afu mbona kavaa kapelo kaishusha chini ya macho kama wale watuhumiwa wa kesi za wizi wanavyofanya kuficha aibu?
Anaogopa! Alikuwa ndani tu. Yaani haamini kama ameruhusiwa kutoka nje .(jokes)
 
Msukule umefokonyoka ukiwa na bashasha tele
Nb;
Unaambiwa huyo msukule ni mchananyiko wa pele na mess
 
Back
Top Bottom