Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometime tutumie akili kidogo siyo ushabiki ndo haya haya ya Morrison, Fei Toto. Tukatae huu Upuuzi. Maana mashabiki sasa tunakuwa kama mandondocha. Mnafanya Haji atambe kuwa alisema kweli wenye akili wawili tu.Kwa hiyo umefurahi, au umenuna? Chagua kimojawapo kati ya hivyo viwili.
Kuona haya sio kosa
Kwano Haji ni mtu wa maana sana?Sometime tutumie akili kidogo siyo ushabiki ndo haya haya ya Morrison, Fei Toto. Tukatae huu Upuuzi. Maana mashabiki sasa tunakuwa kama mandondocha. Mnafanya Haji atambe kuwa alisema kweli wenye akili wawili tu.
Aibu iko wapi! Kuna watu mnapenda kukuza mambo mpaka basi.Ni aibu tupu
Usiongee kama simba. Manara ni msemaji wetu sema tu ameweka figisu figisu. Mheshimu huwez mlinganisha na wewe hata kidogo. Mchango wa manara kwetu ni mkubwa na tumeuona. Wewe una changia nini yanga?Shida iko wapi mkurugenzi kwa huyo mchezaji kubakia Avic Town na wenzake? Alisajiliwa kwa lengo la kuisaidia timu. Bahati mbaya akapata majeraha! Na sasa amepona, na hivyo benchi la ufundi limeona apewe nafasi nyingine.
Halafu huyo Haji Manara unayempa kiki, ni nani hasa katika maisha yetu ya kila siku? Au unavutiwa na ule mdomo wake mchafu, na usiochuja maneno ya kuzungumza?
Don't complicate things. Life is too short.
Utajua mwenyewe na fingo lenuHaya, ameshatoka kula hayo mapumba na unga! Mjiandae sasa kwa maumivu na vilio.
Maana unaambiwa yule Mayele anaye watetemesha kila siku, ni cha mtoto kwa huyo Kambole.
Manara siyo msemaji wa Yanga. Kama bado ni msemaji, na Ali Kamwe ni nani pale Yanga? Na kiufupi Manara alikuwa ni mwajiriwa tu wa GSM. Hivyo hana mchango wowote ule kwa Yanga kama Yanga! isipokuwa GSM na biashara yake kwa ujumla.Usiongee kama simba. Manara ni msemaji wetu sema tu ameweka figisu figisu. Mheshimu huwez mlinganisha na wewe hata kidogo. Mchango wa manara kwetu ni mkubwa na tumeuona. Wewe una changia nini yanga?
Misimu 4 ana goal 1 ndo amsumbue mosses phiriMmejiandaa lakini kwa maumivu? Maana huyo Mayele anayewatesa kila siku, ni cha mtoto kwa Kambole. Imagine yule Moses Phiri wenu, akimuona Lazarus Kambole, mwili unaishiwa nguvu.
Tatizo kubwa ni ajira na ukosefu wa pesa, ukiona kijana kazi yake ni utimu asubuhi mpk usiku ujue maisha yake magumu. Sehem pekee inayompa furaha ni kukashfu na kutusi wengineAibu iko wapi! Kuna watu mnapenda kukuza mambo mpaka basi.
Kambole yule aliyecheza jana na KMKM au mwingine?Unajua ukikosa mwanga wa jua kwa muda mrefu akili zinafumbaa.Kukaa darini sio mchezo.Mmejiandaa lakini kwa maumivu? Maana huyo Mayele anayewatesa kila siku, ni cha mtoto kwa Kambole. Imagine yule Moses Phiri wenu, akimuona Lazarus Kambole, mwili unaishiwa nguvu.
Kwa Kambole yule wa jana, naomba tu kufuta kauli yangu.Kambole yule aliyecheza jana na KMKM au mwingine?Unajua ukikosa mwanga wa jua kwa muda mrefu akili zinafumbaa.Kukaa darini sio mchezo.
TFF inalinda sana ujinga.